Kwa hizi tofauti za wanasiasa wanaohamia CHADEMA kutoka CCM na wale wanaohamia CCM kutoka CHADEMA, CHADEMA kuna shida gani ?

Kwa hizi tofauti za wanasiasa wanaohamia CHADEMA kutoka CCM na wale wanaohamia CCM kutoka CHADEMA, CHADEMA kuna shida gani ?

Kiukweli hiii hamahama inaleta shida sana aise kiukweli kwasasa siwezi nikajifanya kimbelembele kwa chama chochote aise.wote wachumia tumbo sio chadema wala sio sisiemu.
 
Sijaona tusi alilotukanwa EL wala Msigwa.
Weka hapa ushahidi wa ukisemacho.
Em angalia comment za watu wa Chadema khs msigwa na Lowassa kipindi kile. Huyo Lowassa angalia kipindi hajahamia Chadema na baada ya kutoka chadema
 
Watu walioko chadema hawana nia ya dhati ya kulipigania na kulijenga taifa. Wanatafuta shibe tu. Shibe ikileta shida wanatimkia ccm kwenye vyeo lukuki.
Chadema haina mamlaka,vyeo,pesa nk huko ni shuruba tu na njaa ndiyo maisha.Wanasiasa wa sasa wa upinzani wanavutwa zaidi na maslahi yaliyoko ccm. siyo kama wale wa zamani. Sasa hivi hawana uzalendo. pili ccm inapenyeza mno pesa kuwavuruga kumbukeni kauli ya Lissu na pesa ya mama Abdul alisema tutaisha.
 
..Ccm walikuwa wanamtukana Msigwa akiwa Cdm, leo wanamsifia kwasababu amehamia kwao.🤣🏃🏾‍♂️
Kama ambavyo Chadema walivyokuwa wanamuita Lowassa ni fisadi ila baada ya kujiunga nao akawa sio fisadi tena 😂
 
Kama ambavyo Chadema walivyokuwa wanamuita Lowassa ni fisadi ila baada ya kujiunga nao akawa sio fisadi tena 😂

..Msigwa alikuwa anasema nchi imekwama kwasababu Ccm wana akili ndogo.

..Sasa sijui atafanya nao kazi vipi bila kudhalilika kwa kauli zake za awali.
 
..Msigwa alikuwa anasema nchi imekwama kwasababu Ccm wana akili ndogo.

..Sasa sijui atafanya nao kazi vipi bila kudhalilika kwa kauli zake za awali.
Labla anaenda kufanya mageuzi makubwa hapo mbogamboga 😂
 
Labla anaenda kufanya mageuzi makubwa hapo mbogamboga 😂

..suluhisho ni kuwa na vyama viwili vinavyolingana nguvu.

..mazingira ya siasa ambapo chama kimoja ni kikubwa kupita kiasi hayana afya kwa demokrasia yetu.
 
Back
Top Bottom