Kwa idadi ya Waafrika wanaoishi nchini China, ni wazi Afrika inazalisha nguvu kazi kwa nchi zilizoendelea

Sasa mbona hao matapeli wa kinaijeria wapo wengi huko China mnasema.
Kwa sababu Kama kweli wanigeria wangekuwa wasumbufu wangeshapigwa BAN huko China siku nyingi unataka kusema watanzania ni wasumbufu Sana kushinda wanaijeria
Wanigeria na Waghana wako kila mahali, Ujerumani ndiyo usiombe. Nchi ikiwa na uchumi mzuri tu wametia mguu. Wanachonifurahisha kwao wanajenga tena style zilezile wanazoziona Ulaya.
 
Tumekua wazalishaji wa nguvu kazi Ulaya, nguvu ambazo zingetumuika kuendeleza bara letu kufikia maendeleo wakiyofikia Ulaya.
...tutanyaje Sasa maana fursa za kiuchumi huku home sio rafiki sana (japo zipo)..bora tujaribu huko majuu
 
ni vizuri kabla haujatoka moja kwa moja anzia nchi jirani zetu.
tatizo watz kujitoa muhanga uwa hatuwezi
Tatizo sio passport jamani, shida nauli. Passport yangu hadi inaanza kupauka sasa $1000 nazitoa wapi??[emoji42]
Somebody anikopeshe[emoji42]
 
Kungekua na ajira za kutosha vijana wasingejiingiza katika biashara hii haramu. Wengi wanaifanya kwa kukata tamaa ya maisha.

Ajira za kutosha zinatoka wapi na nani anazitengeneza..?
 
Daaaaa alafu wahitimu wengii wa chuo now day n boda bodaa mtaan aiseee ,mkuu nawezajee ss kufka uko npe mwongozo km unaelewa zaidi jinc yakufika uko mbelee
 
acha waende hukohuko na wasirudi kabisa, na wewe ukitaka nenda. Itasaidia kupunguza idadi ya vibaka na uhaba wa ajira.
 
True kabisa.
Waafrika ni wavivu wakiwa nyumbani.Lakini nje ni roboti hii imechangiwa mfumo wa malipo kwa masaa,huu ungetumika Afrika watu wangepiga Sana Kazi.
Kama ulaya unalipwa kwa Saa moja dola 10,20,30 yaani elf 30 au 40 kwa Saa hali afrika mtu analipwa elf 40 au 50 kwa wiki au kwa mwezi.
Kwann usitoboe kwenye kubeba boksi ukiwa na malengo
 
Jihadharini Sana na wanaowapa connection za Kazi nje uwe na uhakika usijerudisha maiti bongo,unalipwa kila kitu ukifika nje unauliwa wanachukua viungo vyako vyote wanauza wanatumia milioni 3 kugharamia ufike wao wanapata zaidi ya milioni milioni 200 tija kwenye kuuza viungo vyako.
Connection upate mtu au kampuni sahihi ya Kazi nje
 
Hatuhitaji wawekezaji Wazungu, wenye uwezo wa kuweka milioni 200 wanaweza kujikusanya 10 na kuanzisha mradi. Kinacho hitajika hapa sera nzuri za nchi, wanasheria wa kusimamia policies. Mnaweza kuajiri wengine.
Mswahili hayupo serious,anaacha maji ya mto yapotee baharini mchina akiyatumia kuzalisha ni kosa
 

Tunapenda mwingine afanye kazi sisi tuje kula matunda tu. Mwingine asipofanya kazi tunalalamika.
 
Wale Waethiopia waliokwenda ukimbizini Ulaya miaka ya 80-90 wengi walipata elimu na ujuzi. Wameamua kuunganisha nguvu na wanawekeza kwao. Wamefungua viwanda vya viatu, mikanda na mikoba ya ngozi. Soko la viatu vyao liko hapa hapa Afrika na wanaajiri vijana wao viwandani.

Hatuhitaji wawekezaji wazungu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…