Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Ndo hapo!! Waulize hawa!!kENYA,MALAWI,ZAMBIA NK WAMEWEZA NA MAMBO YANASONGA WHY SISI
Hujaweka mapenzi pembeni. Weka mapenzi pembeni kisha ujiulize, chadema ikishinda watapewa ikulu kirahisi tu kama nyerere alivyompa mwinyi, mwinyi akampa mkapa, mkapa akampa jk na jk akampa jpm? Ss jpm atampa lisu kirahisi tu?Kama imeweza kukabidhiwa kwa Magufuli aliyejitangaza hadharani kichaa Kwa nini isikabidhiwe kwa Lissu tunaemjua Smart, Wise na ana Exposure kubwa???
Acha kumfananisha Silaa mwizi wa wake za watu aliyelaaniwa na Mungu kwa kuacha upadre na Shujaa Lissu aliyeponywa kwenye Risasi 38 na Mungu!!Ukitaka kuona kwamba hawa washabiki wa chadema wako frustrated angalia hizo sera na michango ya mihemko ya hawa washabiki wa chadema. Hivi kweli unaweza kwenda kwa mwananchi wa katarero kwa visera hivi ambavyo hata ccm wanazo za namna hiyo kweli utegemee utambadilisha huyu mwananchi ya katerero apigie kura chedema. Dr. Slaa mwaka 2010 alikuwa na sera ya kuondoa nyumba za tembe na alikuwa anafafanua ni kwa namna gani watoa ondoa hizo nyumba za tembe mathalani kuondoa au kupunguza kodi kwenye vifaa muhimu vya ujenzi na pengine ikiwezekana serikali kutoa ruzuku kwa sekta ya ujenzi. Sasa hii chadema ya leo iliyopooza inakuja na visera vilivyopooza na mabazo rivals wao (ccm) wanazo miaka na miaka japo utekelezaji unaweza kuwa haujafaninyika kwa kiwango cha juu!
Kwa nini wasipewe ???Hujaweka mapenzi pembeni. Weka mapenzi pembeni kisha ujiulize, chadema ikishinda watapewa ikulu kirahisi tu kama nyerere alivyompa mwinyi, mwinyi akampa mkapa, mkapa akampa jk na jk akampa jpm? Ss jpm atampa lisu kirahisi tu?
Itatumwa humu ndugu usihofuNitumie link ya ilani niisome
Serikali kufanya biashara na kuua sekta binafsi kavifanya kwa ufanisi mkubwa sana,yaani hata kile kidogo kilichokuwa kinapatikana kakimaliza kabisaNi ilani nzuri ila vyote tayari tingatinga amefanya na ambavyo bado tunamchagua tena avimalizie.
Hongereni kwa kujaribu tuonane 2025
Kwa hiyo baada ya kupona hizo risai 38 hiyo ndio sera ya chadema? Mimi siyo mfia chama chochote ninachotaka ni maendeleo ya nchi yetu weather yana letwa na cuf, act,ccm, au chedema mimi kwangu yote ni heri maana maendeleo hayana chama maana chama chochote makini kinaweza kuleta maendeleo ya nchi. Lakini katika kabla ya kuleta maendeleo lazima chama kiwe na sera zenye mashiko na zinazotekelezeka siyo bla bla tu kwa tamaa ya kwenda ikulu.Acha kumfananisha Silaa mwizi wa wake za watu aliyelaaniwa na Mungu kwa kuacha upadre na Shujaa Lissu aliyeponywa kwenye Risasi 38 na Mungu!!
Sasa jaribuni kuingilia matakwa ya wananchi ndo mtaona kama Kuna hatari ya nguvu ya umma au la!!Kuna vipimo vinavyoonyesha hali ya hiyo hatari ya nguvu ya uma. So far si hatarishi kama unavyodhani japo inawezekana upepo ukabadilika, na hilo linatafutiwa ufumbuzi maana wenye mamlaka pia wanategemea uwezekano wa hilo kutokea.
Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaamini itakuwa kirahisi tu kukabidhi nchi kwa Lissu? Yaani majeshi, mipaka, mabomu, rasilimali za nchi n.k vyote ccm wampe lissu kwa sababu kashinda kura? Tuweke mapenzi ya chama pembeni, jibu kama binadamu mwenye utashi.
Kajifunze kiswahili kwanza ndio uje, umeandika kitu gani sasa?ivi mmeshamaliza kuchukua form eeeh
We punguani nini unauliza Sera za Chadema kwani huu uzi main thread inazungumzia nini???Kwa hiyo baada ya kupona hizo risai 38 hiyo ndio sera ya chadema? Mimi siyo mfia chama chochote ninachotaka ni maendeleo ya nchi yetu weather yana letwa na cuf, act,ccm, au chedema mimi kwangu yote ni heri maana maendeleo hayana chama maana chama chochote makini kinaweza kuleta maendeleo ya nchi. Lakini katika kabla ya kuleta maendeleo lazima chama kiwe na sera zenye mashiko na zinazotekelezeka siyo bla bla tu kwa tamaa ya kwenda ikulu.
Umeshapanic mapema hivi kabla hata ya kampeni? Ahahahha, ndugu siasa si rahisi kihivyo japo unafanya vizuri kujifariji lakini kumbuka ndoto zilizopitiliza huwa ni hatari sana zisipotimia maana unaweza kufa kabla ya muda wako!We punguani nini unauliza Sera za Chadema kwani huu uzi main thread inazungumzia nini???
Sera ipi hapo unaona haina mashiko??? Uliza utekelezaji wake uambiwe sio unalalama tu hapa!!
Fastjet makampuni kibao yamefunga biashara zao ajira za Wanzania wenzetu zikasitishwa kwasabu ya sela mbovuSerikali kufanya biashara na kuua sekta binafsi kavifanya kwa ufanisi mkubwa sana,yaani hata kile kidogo kilichokuwa kinapatikana kakimaliza kabisa
kabisaaa. Membe ni mamluki kaja kimkakatiCcm walicheza vizuri karata ya BM, somehow itawasaidia sana. Huu uchaguzi ulikuwa uwe balaa.
Kama mimi! Ilani yenyewe iko wapi?Saafi sana, kuna waganga njaa wata-comment hata kabla ya kusoma na kuelewa
Iko LumumbaKama mimi! Ilani yenyewe iko wapi?