Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kwa sasa ukitaka kuona brain za nchi hii, nenda CHADEMA.
Nawaelewa sasa CCM kwa kuanza kuchukua sera za Lissu na CHADEMA ikiwemo ukomo wa ubunge kupitia Viti Maalum
kila la Kheri CHADEMA
Allah azidi kuwaongoza!
Nawaelewa sasa CCM kwa kuanza kuchukua sera za Lissu na CHADEMA ikiwemo ukomo wa ubunge kupitia Viti Maalum
kila la Kheri CHADEMA
Allah azidi kuwaongoza!