didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Magufuli aliwaambia ubunge wa vti maalum uwe na ukomo hadi ikapelekea Ummy kwenda kugombea pamoja na Kairuki ambae lifeline.Ukwel ni kwamba brain za nchi hii zina uhusiano na CCM in one way or another. Brains zinatumika na watawala sio wapinzani