macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Anaweza kuwa alialikwa kutoa utaalam wake. Huyu jamaa yuko vizuri sana ni kwa sababu tu Tanzania watu wa maana hawathaminiwi. Huyu alitakiwa awe waziri kwenye mambo ya fedha, uchumi etc...Asad nae Kama nani ndani ya CHADEMA