900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
ulitegemea kuwaona tu watu kama hao ccm,ukiambiwa chadema ni chama cha watanzania elewaAsad nae Kama nani ndani ya CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulitegemea kuwaona tu watu kama hao ccm,ukiambiwa chadema ni chama cha watanzania elewaAsad nae Kama nani ndani ya CHADEMA
sayansi mpaka uone kemikali na vilipuzi ukumbini,kweli ccm mna akili mgando mnahitaji elimu ya amaliSayansi.
Mada inasema CHADEMA yetu inaendeshwa kisayansi. Nimeingia kuona ni sayansi ipi hio.
Cha kwanza kuona ni picha. Picha ya Mh. LISSU akiwa mweupe peee, nikajiuliza hii ni sayansi?
Uhusiano upo hapo.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
Mgombea Urais ajaye kupitia Chadema. Hata hivyo, hatauzika. Chadema bora wangeenda na TL tuu.Asad nae Kama nani ndani ya CHADEMA
Hapo kwa red ulimaanisha nini?Munapenda Devideand concur sasa hivi ulaghai wa Mama umeshtukiwa😁😆
Kwakweli, huyu kama Yuko kwenye tabu kubwa maskini ya Mungu!Wewe kama sio Lissu mwenyewe basi ni wazi una dalili zote za kuugua kichaa hivi karibuni.
Strategy yenu ya kuchonganisha vyama vya upinzani.Hapo kwa red ulimaanisha nini?
Hawawazi maarifa ya kufanya Tanzania kuwa nchi yenye maendeleo ya uhakika, wanachowaza ni kuvifarakanisha tu vyama vya upinzani makini ili waendelee kuliibia TaifaStrategy yenu ya kuchonganisha vyama vya upinzani.
Strategy yetu na nani? Are you sane?Strategy yenu ya kuchonganisha vyama vya upinzani.
HakikaMtu huru aliyeamua kutumia elimu yake kwa faida ya wote.
Tumuache Mbowe apumzike kidogo! Amefanya vitu vikubwa Sana kwa wakati wakeWale chawa wa Sultan Mbowe wanaumia sana yaani wana ushetani mwingi kuliko hata maccm
Vibaya mno, this time ngariba kafika na kisu chake mapema😁😁😁😂😂😂 wamewahiwa kwasababu ukikaribia uchaguzi ndio propaganda zao mboga mboga fc.
HA ha.sayansi mpaka uone kemikali na vilipuzi ukumbini,kweli ccm mna akili mgando mnahitaji elimu ya amali
Haswa.DJ alituchelewesha sana na ushamba na ukabila wake.
Umenichekesha saaana..hizo picha ndiyo waongoze nchi..aaahKwa sasa ukitaka kuona brain za nchi hii, nenda CHADEMA.
Nawaelewa sasa CCM kwa kuanza kuchukua sera za Lissu na CHADEMA ikiwemo ukomo wa ubunge kupitia Viti Maalum
View attachment 3267901View attachment 3267902View attachment 3267903View attachment 3267904
kila la Kheri CHADEMA
Allah azidi kuwaongoza!