Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Na makucha yake.kumekuchaaaa
Wewe kama sio Lissu mwenyewe basi ni wazi una dalili zote za kuugua kichaa hivi karibuni.Kwa sasa ukitaka kuona brain za nchi hii, nenda CHADEMA.
Nawaelewa sasa CCM kwa kuanza kuchukua sera za Lissu na CHADEMA ikiwemo ukomo wa viti ubunge kupitia Viti Maalum
View attachment 3267901View attachment 3267902View attachment 3267903View attachment 3267904
kila la Kheri CHADEMA
Allah azidi kuwaongoza!
Dadeeki oogh CHADEMA imeishiwa oogh CHADEMA chama cha wakristo, oogh CHADEMA cha wachaga, nyokolilooo wameufyata....Na makucha yake.
AmiinKwa sasa ukitaka kuona brain za nchi hii, nenda CHADEMA.
Nawaelewa sasa CCM kwa kuanza kuchukua sera za Lissu na CHADEMA ikiwemo ukomo wa viti ubunge kupitia Viti Maalum
View attachment 3267901View attachment 3267902View attachment 3267903View attachment 3267904
kila la Kheri CHADEMA
Allah azidi kuwaongoza!
Chadema kimekufa😅😅😅Dadeeki oogh CHADEMA imeishiwa oogh CHADEMA chama cha wakristo, oogh CHADEMA cha wachaga, nyokolilooo wameufyata....
Najua unaumia sana CHADEMA kuongozwa kwa fikra za Big brains huku CCM mkitegemea wasanii wa bongo movie na machawa.Wewe kama sio Lissu mwenyewe basi ni wazi una dalili zote za kuugua kichaa hivi karibuni.
Mnataka kumualiKibao?Asad nae Kama nani ndani ya CHADEMA
HahahaNajua unaumia sana CHADEMA kuongozwa kwa fikra za Big brains huku CCM mkitegemea wasanii wa bongo movie na machawa.
Vumilia tu. Mmetuchelewesha sana!
Nguvu kubwa saivi ielekezwe kuwafungua akili watu wao usalama (TISS) . Hawa wakifunguka akili na kuacha kuwa wajinga wa CCM tu , nchi yetu imepona.CCM tatizo ni polisi na usalama na umbumbu wa watz. Ingekuwa nchi amabyo wananchi wanajitambua kitambo tu
Akili gani? hawa watu ni wasomi ila wameamua tu kusikiliza njaaa za tumboni mwaoNguvu kubwa saivi ielekezwe kuwafungua akili watu wao usalama (TISS) . Hawa wakifunguka akili na kuacha kuwa wajinga wa CCM tu , nchi yetu imepona.