Kwa kauli hii ya IGP Wambura, Lissu na wengine nawashauri futa wazo la kurudi nchini

Kwa kauli hii ya IGP Wambura, Lissu na wengine nawashauri futa wazo la kurudi nchini

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!


Video ya alichokisema IGP Wambura​
 
Hayo ni mawazo yako potofu!

Tundu Lisu anarudi nyumbani September, this year!
 
Kama walishahakikishiwa usalama wao nao wakawa tayari kurudi wakikamilisha mambo yao, sioni sababu kwao ya kuogopa kurudi nchini.

This life is too short, waje kuungana na ndugu, jamaa, na marafiki zao na waendeleze harakati zao. Kuogopa kurudi nyumbani ni sawa na kuogopa kufanya siasa.
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga...
Vijana wa Chadema miaka hii mmechanganyikiwa, mnamsikitisha hadi Mwenyekiti Mbowe na mambo yenu ya hovyo.
 
Kama walishahakikishiwa usalama wao nao wakawa tayari kurudi wakikamilisha mambo yao, sioni sababu kwao ya kuogopa kurudi nchini.

This life is too short, waje kuungana na ndugu, jamaa, na marafiki zao waendeleze harakati zao. Kuogopa kurudi nyumbani ni sawa na kuogopa kufanya siasa.
Siasa ni mapambano lazima ukubali kwa lolote litakalo kutokea Jambo la muhimu ni ile dhamira yako uliyonayo ni kutoiacha labda kifo kikutenganishe na dhamira yako .hata harakati za kudai Uhuru duniani kote hazikuwahi kuwa nyepesi Kuna wengine walikufa katika safari ya mapambano walio hai waliendeleza mapambano mpaka dhamira yao ya kudai Uhuru ikatimilika.

Kwa hiyo wao wasihofie chochote Jambo la muhimu Kama wamekubali kuipigania Tanzania kweli kutoka mioyoni mwao basi wasikate tamaa ya kurudi nchini na kuendeleza mapambano yao Ila Kama hawana dhamira yoyote mioyoni mwao basi watakata tamaa na watakuwa na hofu itakayo pelekea wao kuto kurudi nchini.

Shujaa haogopi kufia kwenye uwanja wa Vita/mapambano. Na uwanja wa mapambano ni Tanzania na wala sio huko ughaibuni walipo jihifadhi. Ni hafadhari mara mia moja kufa katika ardhi ya mapambano [ Tanzania ] na kuhesabika Kama shujaa kuliko kufia ng'ambo na kuhesabika Kama mkimbizi wa Kisiasa maana halisi ya mapambano yao haitaonekana wala kuthaminika.

- Hata Mandela alikimbia kwao S.A na kuja kuomba hifadhi kwetu, Mwalimu akahaidi kumpa hifadhi lakini kadiri muda ulivyokuwa una zidi kwenda Mandela aliamua kurudi nyumbani kwao kwenye uwanja wa mapambano [ S.A ] na kuendelea mapambano licha ya kufungwa miaka 27 Ila dhamira yake ya ukombozi nchini mwake haikukoma bali aliiendeleza mpaka ikatimilika .

- Vivo hivyo kwa Kenneth Kaunda , Samora Machel, Robert Mugabe na wengine wengi tuliwapa hifadhi na mafunzo hapa kwetu ila mwisho wa siku hawa kuendelea kuwa wakimbizi wa Kisiasa nchini mwetu bali walirudi nchini mwao kwenye viwanja vya mapambano na kupambania zile dhamira zilizomo mioyoni mwao mpaka ukombozi ukakamilika.

#SHUJAA WA KWELI HAKIMBII UWANJA WA MAPAMBANO BALI ANAFIA UWANJA WA MAPAMBANO.


#MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI TANZANIA FUNGUA FIKRA ZA WATANZANIA WAJIPAMBANIE WENYEWE KUTOKA MIKONONI MWA WANYANG'ANYI.

* ISHI MILELE TANZANIA MAPAMBANO WACHA YAENDELEE✊🇹🇿
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga...
CHADEMA haiwezi kurudi nyuma, leo Mzee Sirro amekua balozi, vipi ikitokea akaburuzwa ICC, nani atamtetea,
 
Siasa ni mapambano lazima ukubali kwa lolote litakalo kutokea Jambo la muhimu ni ile dhamira yako uliyonayo ni kutoiacha labda kifo kikutenganishe...
Sishauri akina Lisu wawe DEAD HEROS! No PLEASE! Siyo karne hii ya 21! We ned to devise other means to fight injustices while preserving life!
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!

View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura​
Nitaweka kauli yake ya kulinda viongozi!
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!

View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura​
wewe ni mgombanishi, ni wapi kamanda IGP ameongea hivyo? wewe ndio unahusika na kumpiga risasi Tundu Lissu sasa mnaogopa, mtakufa midomo wazi tu, Mungu yupo kazini
 
Sishauri akina Lisu wawe DEAD HERO! No PLEASE! Siyo karne hii ya 21! We ned to devise other means to fight injustices while preserving life!
Sawa nimekuelewa . Ila fahamu kuwa👇
mao_zedong_quote.jpg
 
Back
Top Bottom