Kwa kauli hii ya IGP Wambura, Lissu na wengine nawashauri futa wazo la kurudi nchini

Kwa kauli hii ya IGP Wambura, Lissu na wengine nawashauri futa wazo la kurudi nchini

Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!

View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura​
Unazingua mkuu... mbona kaongea tu kawaida hapo?
Na kuua viongozi wa upinzani mpaka rais aamue, polisi hawawezi kujiamulia jambo kubwa kama hilo bila go ahead ya Rais
Au unadhani Sirro ndio alijiamulia mwenyewe shambulio kubwa kama lile la Lissu!!?
 
Njia sahihi pekee ya kuwamaliza majambazi ni kutumia bunduki, bunduki ndio solution ya kuwaondoa wapumbavu kwenye Jamii.
Kwa andiko lako wewe ndiye mpumbavu nambari wani
 
Kwa andiko lako wewe ndiye mpumbavu nambari wani
Mtapora watu hadi lini yaani sisi tufanye Kazi nyie mchukue kilaini.Rwanda ni salama wametumia njia hii imeleta matokeo 💯 asilimia.
Kamata jambazi tesa ataje wenzake piga bullets,saka aliowataja tesa wataje mtandao wako piga bullets ndani ya miezi 3 Hakuna takataka inayoitwa jambazi au kibaka.Jambazi atakiwi kuwa jela ni matumizi mabaya Sana ya kodi zetu bali kwake ni kuzimu awaishwe.Mtu akiwa mpumbavu inatakiwa atenganishwe na Jamii haraka na sio kumfunga jela.
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!

View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura​
Kwanin yeye hataishi milele anavyowatishia wenzake watakufa
 
Mtapora watu hadi lini yaani sisi tufanye Kazi nyie mchukue kilaini.Rwanda ni salama wametumia njia hii imeleta matokeo 💯 asilimia.
Kamata jambazi tesa ataje wenzake piga bullets,saka aliowataja tesa wataje mtandao wako piga bullets ndani ya miezi 3 Hakuna takataka inayoitwa jambazi au kibaka.Jambazi atakiwi kuwa jela ni matumizi mabaya Sana ya kodi zetu bali kwake ni kuzimu awaishwe.Mtu akiwa mpumbavu inatakiwa atenganishwe na Jamii haraka na sio kumfunga jela.
Jiwe nayeye alikua na misimamo kama yako uzuri mmoja kila nafsi itaonja mauti, huyu wa Rwanda nakuhakikishia hataishi milele, sisi wote ni wapitaji kwanin umtishie mwenzako maisha
 
niliandika kuna mijitu ya CCM humu ikaleta mzaha! una mmoja yuko nje alisema waafrika hawaaminiki, siwezi kurudi sasa hivi! Leo nimeongea naye akasema si nilikwambia kuwa huko bado kabisa as long as CCM iko madarakani! Kuna kijiutu humu kinaleta ujinga
 
Erythrocyte niliandika hapa.....Mmoja yuko scandinavia akasema huko siji maana waafrika hawaaminiki
 
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.

Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!

View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura​
Nini kibaya alichokisema?
 
Back
Top Bottom