chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Unazingua mkuu... mbona kaongea tu kawaida hapo?Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.
Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!
View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura
Na kuua viongozi wa upinzani mpaka rais aamue, polisi hawawezi kujiamulia jambo kubwa kama hilo bila go ahead ya Rais
Au unadhani Sirro ndio alijiamulia mwenyewe shambulio kubwa kama lile la Lissu!!?