Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
You're better than this, acha upotoshaji kwa wasiokuwa na bundle la kuangalia hiyo video clip, usimlishe maneno IGP.Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.
Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!
View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura
Umesikiliza video clip au ndio oyaoya fuata mkumbo?"Nakuchagua ile ukatulinde sisi viongozi tuishi vizuri"
"Kabla hajachaguliwa kuwa IGP aliona viongozi wasumbuliwa na wanaishi kwa wasiwasi".
Tukumbuke pia kingai ndiyo DCI sasa ngoja niendelee na mbege yangu hapa.
IGP ni Mtu mdogo kwenye Suala la Lissu na Lema ataagizwa awalindeAnawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.
Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!
View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura
Welcome well wishes! Let us pray for that to happen!IGP ni Mtu mdogo kwenye Suala la Lissu na Lema ataagizwa awalinde
matusi siyo hoja! jenga hojaLissu kishazoea bure, anakula na kulala bure hawezi kurudi. Ila ni aibu sana, basi tu
Unachokikataa ndicho kinacho trend!You're better than this, acha upotoshaji kwa wasiokuwa na bundle la kuangalia hiyo video clip, usimlishe maneno IGP.
Muulize mama yako kama nina umama! Huwa sitaki matusi, jibu hoja, ukitukana utatukanwaYou can not PRESERVE LIFE when you fight injustices.
A life must be taken to have justice.
Acha UMAMA, pambana.
Mkuu ulichoongea ni sahihi mno.Mchawi wetu ni CCM.Hata huyu akiteuliwa lazima atabadilika atafuata maelekezo ya CCM
Lissu kishazoea bure, anakula na kulala bure hawezi kurudi. Ila ni aibu sana, basi tu
Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.
Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!
View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura
Ana'practice' ung'eng'e wake mpya. Haijalishi kitu hata kama anachowasilisha hakileti maana yoyote.sijakuelewa context ya jibu lako....
Kwani Lissu kakukosea nini mpaka unatamani angeuawa siku ile!?SI AJABU WEWE NDIWE ULIKOSEA KULENGA PENYEWE... ULAANIWE NA UZAO WAKO !
Hata aje Obama lazima mfumo ovu wa CCM utambadilisha haraka snMkuu ulichoongea ni sahihi mno.Mchawi wetu ni CCM.
Chadomo ni kulalamika tuu kama mtoto yatima..Anawalinda viongozi waishi vizuri, nyie ni wapinzani wa kukosoa serikali ambayo inaongozwa na "viongozi". Mkiwakosoa, mkawasema mmekufa. Safari hii Lissu hawatakosea kulenga.
Kaeni uhamishomi, huku Moto umewaka! Siku ya Kwanza ofisini!
View attachment 2298752
Video ya alichokisema IGP Wambura