- Thread starter
- #21
Kabisa! Hii itaitesa Sana nchiAlitengeneza mfumo wa watu fulani maalum wenye kuogopwa na kuwa na nguvu ya kufanya kila kitu. Very wrong approach.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa! Hii itaitesa Sana nchiAlitengeneza mfumo wa watu fulani maalum wenye kuogopwa na kuwa na nguvu ya kufanya kila kitu. Very wrong approach.
Wale waliopiga pesa wizara ya fedha si wateule wake?,na Hawa waliopiga pesa ndefu bandarini si wateule wake?Kama kuna kitu alikosea raisi SSH ni kurith viongozi wa magufuli.
Yaani hujuma lazima itokee
Walisahau ule msemo usemao 'heshimu watu bosi ni binadamu hufariki'Kabisa! Hii itaitesa Sana nchi
Yaani sympathizers wa mafisadi ni wajinga sana. Yaani wana akili finyu sana. Yaani badala ya kujua kuwa Dkt Magufuli aliogopwa na watandaji kiasi kwamba waliogopa kufanya ufisadi na baada ya kufa walishangilia wakijua mkali kaondoka ili waibe wanadhani mama hana akili za kulijua hilo.
Kwa hiyo awamu ya tano sio zilizopita?Hajasema awamu ya tano ila awamu zilizopita. Acha propaganda za kishamba
Yuko busy kuongoza MalaikaMuda Huu Mzilankende Hawezi Kujitetea Ingawa Wote Ni Ccm Hao
iAcha uongo wako, wewe ni sehemu ya wezi ndio maana unamtetea. Bodi ya bandari alishaibadili yeye mwenyewe muda mfupi tu baada ya kuapishwa na ikaundwa upya anacholaumu kitu gani?Rais amesema " upigaji ulifanyika awamu ya tano lkn jumba bovu inaanushiwa awamu ya sita. Sitakubali".
Kama angekuwa mshiriki mkuuktk uendeshaji wa serikali ya awamu ya tano rais SSH asingekubali hata awamu ya tano idhalilike.
Lkn anaona ni sawa kwakuwa hakuhusika kwa chochote. Alikuwepo kama picha tu. Mambo yote yalikuwa yakiamuliwa na kuendeshwa na JPM pekee. ....one man show.
😄😄😄 Tupe mfano wa makamu wa rais mmojawapo wa Tz aliyewahi kujiondoa,?Basi atakuwa mmoja ya viongozi wa hovyo kuwahi kutokea kama unayosema ni kweli. Yaani awe makamu wa rais halafu anyimwe nguvu alizopewa kikatiba halafu abaki kusifu na kutukuza tu kila kilichokuwa kinatokea? Kwa nini hakujiondoa?
Naona sukuma gang unamwaga povu la kufiwa na jini jiweSerkali imemshinda na hafiki popote Mungu hataniwi kamwe eti unatupiwa lawama chumba ulichokuwa ukiingia kwa kazi maalumu halafu unajisafisha
Pamoja na hilo, si angetaja zote kuanzia hiyo ya 5, 4, 3, 2 na 1 why kataja moja?Kwa hiyo awamu ya tano sio zilizopita?
Acha upumbavu wewe usie na jinsiaNaona sukuma gang unamwaga povu la kufiwa na jini jiwe
Nadhani hukuelewa tunachoongelea. Wakati mwingi siyo lazima uchangie.😄😄😄 Tupe mfano wa makamu wa rais mmojawapo wa Tz aliyewahi kujiondoa,?
Mama uwezo wake mdogo ni bahati imemfikisha hapo. Alihujumu katiba ya waryoba yuko na samweli sita. Acha laana imtafuneKumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Mungu wa Chato😁😁😁
View attachment 2032585
Wasukuma wanatakiwa wajifunze kukaa kimya,na wasijione kua wajuaji au wasiwaone watu hawajui ya awamu ya 5Rais amesema " upigaji ulifanyika awamu ya tano lkn jumba bovu inaanushiwa awamu ya sita. Sitakubali".
Kama angekuwa mshiriki mkuuktk uendeshaji wa serikali ya awamu ya tano rais SSH asingekubali hata awamu ya tano idhalilike.
Lkn anaona ni sawa kwakuwa hakuhusika kwa chochote. Alikuwepo kama picha tu. Mambo yote yalikuwa yakiamuliwa na kuendeshwa na JPM pekee. ....one man show.
Sukuma gang inabidi washikishwe adabuWasukuma wanatakiwa wajifunze kukaa kimya,na wasijione kua wajuaji au wasiwaone watu hawajui ya awamu ya 5
Mama kasema sana,anataka HAKI kitu ambacho watu wa awamu ya tano hawaweziBwana wee, hizi lectures tumeshazisikia sana nilikua namjibu huyo niliyemnukuu aliyesema Mama alitakiwa asiwachukue waliokua kwenye awamu iliyopita.
Sasa kama yeye mwenyewe alikua sehem ya hiyo awamu iliyopita na mtoa hoja point yake ni kwamba wote waliokua awamu iliyopita, una muenguaje Mama?
Hapo hoja ilitakiwa iwe Mama aweke wazi nini anataka na apate watu anaona watamsaidia kutimiza anachotaka.