- Thread starter
- #61
Waliteuliwa na msukumaHao walioko bandarini ni wasukuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliteuliwa na msukumaHao walioko bandarini ni wasukuma?
Jiwe alikuwa mwizi na mzandiki. Kumtetea jiwe inahitaji kuwa mwendawazimuWe ndo pumba sana. Yeye SSH ni zao la JPM. System ya wIzi ipo tu kwa watz wanapenda kuishi ghafla. Hivi unazani wezi wanaotoka mbinguni. Ni wewe na mimi. Watu wengi wanaishi juu ya vipato vyao tz. Hawa wazungu kujenga nyumba wana madeni yanaYowazundikiza Mpaka uzeeni mwao. TZ. Mhasibu two years nyumba. Kazi yenu kulaumu maraisi.
Alikuwa taahira yuleHaa Yule Baba Hotuba Zake Tuzikosa Sana Maana Alikuwa Wa Aina Yake Nakumbuka Butimba Alipoongea Na Wafungwa Akamuuliza
Yule Mlemavu Wewe Umefungwa Kwa Kosa Gani?
Yule Mlemavu Akajibu Eti Mheshimiwa Nimebaka
Mzilankende Akamwambia Na Wewe Miguu Mibovu Lakini Huo Mguu Wa Tatu Unafanya Kazi. Haa
Kama kuna kitu alikosea raisi SSH ni kurith viongozi wa magufuli.
Yaani hujuma lazima itokee
Hiyo bodi hujui hata aliyeiteua ni nani?Waliteuliwa na msukuma
Msukuma ndiye aliiteua. Mama alimwondoaga Kakoko peke yake, wasukuma kibao wakabakiaHiyo bodi hujui hata aliyeiteua ni nani?