Kwa kauli hii ya rais Samia ni dhahiri awamu ya tano ilikuwa 'One Man Show'

Kwa kauli hii ya rais Samia ni dhahiri awamu ya tano ilikuwa 'One Man Show'

We ndo pumba sana. Yeye SSH ni zao la JPM. System ya wIzi ipo tu kwa watz wanapenda kuishi ghafla. Hivi unazani wezi wanaotoka mbinguni. Ni wewe na mimi. Watu wengi wanaishi juu ya vipato vyao tz. Hawa wazungu kujenga nyumba wana madeni yanaYowazundikiza Mpaka uzeeni mwao. TZ. Mhasibu two years nyumba. Kazi yenu kulaumu maraisi.
Jiwe alikuwa mwizi na mzandiki. Kumtetea jiwe inahitaji kuwa mwendawazimu
 
Haa Yule Baba Hotuba Zake Tuzikosa Sana Maana Alikuwa Wa Aina Yake Nakumbuka Butimba Alipoongea Na Wafungwa Akamuuliza
Yule Mlemavu Wewe Umefungwa Kwa Kosa Gani?


Yule Mlemavu Akajibu Eti Mheshimiwa Nimebaka
Mzilankende Akamwambia Na Wewe Miguu Mibovu Lakini Huo Mguu Wa Tatu Unafanya Kazi. Haa
Alikuwa taahira yule
 
Kama kuna kitu alikosea raisi SSH ni kurith viongozi wa magufuli.
Yaani hujuma lazima itokee

The sooner she realizes that all the Jiwe appointees in the government are not for her, the more urgency there is to replace them!!! Kulia Lia na kutafuta sympathy hakutamsaidia na kutegemea kuwa kuwateua wanawake na kuantagonize wanaume kwenye uteuzi kutamletea kura za wanawake kwenye uchaguzi ni kujidanganya!!! Hao wanawake anaowateua ni wa mijini na wasomi lakini wanawake ambao ndio wapiga kura wengi wako vijijni na ndio hao amewapiga TOZO za miamala ya Simu!!!
 
Back
Top Bottom