Kwa kauli hizi nashawishika kuamini kuwa sijamuelewa Rais Samia kama ni Dikteta ama Mwanademokrasia

Kwa kauli hizi nashawishika kuamini kuwa sijamuelewa Rais Samia kama ni Dikteta ama Mwanademokrasia

Unadhani uongozi wa nchi ni sawa na kudandia chopa ili watu wakushangilie?

Baada ya kuchokwa kwa kumtukana JPM sasa umeanza kumtafuta Samia.

Siku ukibahatika kuwa hata Mtendaji wa Kata ndo utajua kwamba uongozi unahitaji maamuzi na siyo kuchekacheka kama nyani!!!
Mpaka sasa ni 1-1 na ni dakika ya 13 kipindi cha kwanza. KENGE
Sukuma gang una hasira hatari. Unaongea ukiwa Chato? Hata iweje jiwe atabakia kuwa ndiye mtu mpuuzi zaidi kuliko wote kuwahi kuingia ikulu.

Samia mama wa watu ni msikivu tunaamini hizi ni kasoro ndogo ndogo tu atazirekwbisha.

Hata wewe u abwatuka humu ni kwasabb ya uhuru wa kujirleza uliowekwa na mama. Yule jini wako aliuondoa kabisa. Alikuwa anateka na kuuwa kila anayekosoa.

Yule jini jiwe afe tena huko aliko.
 
Kuna mambo yanayothibitisha mkanganyiko ktk kumtafsiri rais Samia.

Ukimsikiliza ktk hotuba zake na matamanio yake juu ya wapi anataka kuipeleka nchi yetu rais Samia anaonekana anapenda haki na utangamano.

Ukianzia namna alivyorekebisha mtanziko wa kisiasa uliokuwepo kwa kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa ya hadhara.

Namna alivyotoa haki kwa waliobambikiziwa makosa ya uhujumu uchumi na alivyorejesha furaha kwa walioprwa fedha zao.

View attachment 2646388
Lakini kwa upande mwingine tunajiuliza kwanini;
1. Naona ni haki kwa covid-19 kuendeleza kuwa bungeni?
2. Aling'aka sana pale ambapo aliyekuwa spika wa bunge ndugu Ndugai alipotoa maoni yake kuhusu mikopo? Haamini katika uhuru wa kutoa maoni?
3. Anapokeakauli tata za akina Daniel Chongolo na Chalamila? Kauli zao ni dhahiri zinapingana na maagizo yake rais Samia. Amewatuma?

4. Suala la Katiba halipi nafasi ya kipaumbele katika kulishughulikia? She is too slow. Mpaka inatia mashaka. Au anaudanganya Umma?

5. Muswada wa Kinga kwa maafisa wa usalama wa taifa, huu ndiyo unatia mashaka sana.

Naomba nikiri bado sijaamini kama Rais Samia ni mwanademokrasia.

Huyo ni mmoja wa walioshiriki kuchakachua maoni ya wananchi kwenye rasimu ya Warioba kwenye bunge la katiba. Ni kweli hafanani kitabia na mtangulizi wake, lakini haamini kwenye demokrasia ya vyama vingi kwa maana ya demokrasia halisi. Alichofanya ni kutoa uhuru fulani wa kisiasa ili kupata misaada na mikopo kutoka nchi za magharibi, lakini bado anaamini mbinu za mtangulizi wake ndio zinazoweza kulinda madaraka yake.
 
Hamuwezi kumuelewa kwa sababu mnamshindanisha na Magufuli na mkajiwekea matarajio yenu yaliyopitiliza hadi kumfanya kuwa kama ni spesho tofauti na wengine na mkasahau kuwa Samia ni mwana ccm pia.

Suala kama la katiba mpya na hao covid 19 sijui hata kipi kilichowafanya mkafikiri ingewezekana akafanya tofauti na hivi sasa?
 
Hamuwezi kumuelewa kwa sababu mnamshindanisha na Magufuli na mkajiwekea matarajio yenu yaliyopitiliza hadi kumfanya kuwa kama ni spesho tofauti na wengine na mkasahau kuwa Samia ni mwana ccm pia.

Suala kama la katiba mpya na hao covid 19 sijui hata kipi kilichowafanya mkafikiri ingewezekana akafanya tofauti na hivi sasa?
Mafisadi wengi ndani ya ccm.

Hata hivyo Rais Samia ana nafuu sana😅😅
 
Mafisadi wengi ndani ya ccm.

Hata hivyo Rais Samia ana nafuu sana😅😅
Unafuu wa nini? Kama yeye ni fisadi nafuu ila katika uongozi wake watu hufanya ufisadi kama watakavyo bila hofu sasa huo unafuu wake utakuwa na faida gani?
 
Kuna mambo yanayothibitisha mkanganyiko ktk kumtafsiri rais Samia.

Ukimsikiliza ktk hotuba zake na matamanio yake juu ya wapi anataka kuipeleka nchi yetu rais Samia anaonekana anapenda haki na utangamano.

Ukianzia namna alivyorekebisha mtanziko wa kisiasa uliokuwepo kwa kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa ya hadhara.

Namna alivyotoa haki kwa waliobambikiziwa makosa ya uhujumu uchumi na alivyorejesha furaha kwa walioprwa fedha zao.

View attachment 2646388
Lakini kwa upande mwingine tunajiuliza kwanini;
1. Naona ni haki kwa covid-19 kuendeleza kuwa bungeni?
2. Aling'aka sana pale ambapo aliyekuwa spika wa bunge ndugu Ndugai alipotoa maoni yake kuhusu mikopo? Haamini katika uhuru wa kutoa maoni?
3. Anapokeakauli tata za akina Daniel Chongolo na Chalamila? Kauli zao ni dhahiri zinapingana na maagizo yake rais Samia. Amewatuma?

4. Suala la Katiba halipi nafasi ya kipaumbele katika kulishughulikia? She is too slow. Mpaka inatia mashaka. Au anaudanganya Umma?

5. Muswada wa Kinga kwa maafisa wa usalama wa taifa, huu ndiyo unatia mashaka sana.

Naomba nikiri bado sijaamini kama Rais Samia ni mwanademokrasia.
Uyu ni mtu hatari sana kuliko mnavyodhani bahati mbaya sana nchi imejaza wapumbavu wengi wanaoamini katika vyama sio Utaifa. Njoo Kenya uone linapozuka swala la kitaifa usahau vyama vyao kwanini Tanzania inaendekeza uCCM?
 
Back
Top Bottom