Hilo ni miongoni mwa kazi za Rais Mgombea uchaguzi?Kuwapangia Watanzania wabunge wa kuwawakilisha?Wabunge kama mgombea wa Shinyanga Nate atakuwa anawawakilisha wajumbe 12 wa CCM ya kisasa?Vina mahusiano ndio.Magufuli anauhakika wa kurudi madarakani kwa vyovyote vile kwa sababu kashikampini.
akiamua mpate wabunge wawili ashindwi.
Tulia wewe,utatubu tu muda ukifika.Hilo ni miongoni mwa kazi za Rais Mgombea uchaguzi?Kuwapangia Watanzania wabunge wa kuwawakilisha?Wabunge kama mgombea wa Shinyanga Nate atakuwa anawawakilisha wajumbe 12 wa CCM ya kisasa?
Soma hoja kuu Kisha usome ulichoandika Kama vinahusiana! Ni wapi mleta hoja kazungumzia wabunge? Utakuwa unatafunwa wewe!Chadema mtasemaje mmeshinda uchaguzi ilhali wabunge wenumwaka huu hawatozidi watano?
Mimi huwa siangalii,hata wewe ukishika ukuta nakutafuna tu,huwa sichaguwi men au demu.Soma hoja kuu Kisha usome ulichoandika Kama vinahusiana! Ni wapi mleta hoja kazungumzia wabunge? Utakuwa unatafunwa wewe!
Tangazo lipo wazi sana mkuu. CDM na ACT-wazalendo wamesema kwamba wako tayari kukubali matokeo kutoka sanduku la kura, wataingia barabarani kama sanduku la kura likipuuzwa na kutangaza ushindi wa mezani.Je na chadema kama magufuli akishinda mko tayari kukubali na msisingizie kuwa mmeibiwa kura? Maana nyie wenyewe mmetangaza mtaingia porini.
Akikosa jembe Lissu.....tusiwe na rais tu.Ndugu zangu wapendwa naomba tutafakari kwa kina kuhusu kauli zilizotolewa na Magufuli kwamba hayupo tayari kuacha taifa likaangamia, liingie mikononi mwa matapeli na waongo.
Kwa kauli hizi inaonyesha wazi, kwamba Magufuli yeye tu ndio mtakatifu na mwaminifu, ila wagombea wengine ni matapeli na waongo. Sasa swali langu ni hili je hao matapeli na waongo wakichaguliwa na wananchi yeye atakubali kuachia madaraka?
Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa ndugu yetu anaamini peke yake ndiye anayestahili kuliko wananchi wengine wote. Kama wananchi wameona hao ni watu sahihi wewe ni nani hata useme ni matapeli? Je hii siyo dalili ya kubaki madarakani kwa nguvu? Nini maana ya Uchaguzi? Kwani taifa linakuwa tu salama likiwa mikononi mwake?
Je hili taifa siyo mali ya Mungu? Ni nani anayeweza kulifanya taifa liwe salama zaidi ya Mungu?
Naomba tujadili maana hii kauli imenishitua sana.
" je hao matapeli na waongo wakichaguliwa na wananchi yeye atakubali kuachia madaraka? "Ndugu zangu wapendwa naomba tutafakari kwa kina kuhusu kauli zilizotolewa na Magufuli kwamba hayupo tayari kuacha taifa likaangamia, liingie mikononi mwa matapeli na waongo.
Kwa kauli hizi inaonyesha wazi, kwamba Magufuli yeye tu ndio mtakatifu na mwaminifu, ila wagombea wengine ni matapeli na waongo. Sasa swali langu ni hili je hao matapeli na waongo wakichaguliwa na wananchi yeye atakubali kuachia madaraka?
Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa ndugu yetu anaamini peke yake ndiye anayestahili kuliko wananchi wengine wote. Kama wananchi wameona hao ni watu sahihi wewe ni nani hata useme ni matapeli? Je hii siyo dalili ya kubaki madarakani kwa nguvu? Nini maana ya Uchaguzi? Kwani taifa linakuwa tu salama likiwa mikononi mwake?
Je hili taifa siyo mali ya Mungu? Ni nani anayeweza kulifanya taifa liwe salama zaidi ya Mungu?
Naomba tujadili maana hii kauli imenishitua sana.
ANASHINDWAJE UCHAGUZI WAKATI ANAWAFIKIA WAPIGA KURA NA LISSU ANAWAFIKIA MASHABIKI NCHI HII WAPIGA KURA HAWAPO MIJINI ANAPOPITA LISSU WAPO MAWILAYANI NA VIJIJINI ANAPOPITA MAGUFURI KAMA UNAKILI USHAELEWA NANI MJANJANdio swali analohoji mleta mada!Akishindwa uchaguzi kwenye sanduku la kura atakuwa tayari kuachia madaraka?
Ameisha ona hashindi uchaguzi, anawaliwaza wafuasi na maccm wenzie, Ila ukweli Ni kuwa atautema uraisi kw aibu Kama Yule Laurent Gbagbo wa ivory cost alivyo utema uraisi kwa Alasane Quatara kwa fedhea na aibu kubwaNdugu zangu wapendwa naomba tutafakari kwa kina kuhusu kauli zilizotolewa na Magufuli kwamba hayupo tayari kuacha taifa likaangamia, liingie mikononi mwa matapeli na waongo.
Kwa kauli hizi inaonyesha wazi, kwamba Magufuli yeye tu ndio mtakatifu na mwaminifu, ila wagombea wengine ni matapeli na waongo. Sasa swali langu ni hili je hao matapeli na waongo wakichaguliwa na wananchi yeye atakubali kuachia madaraka?
Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa ndugu yetu anaamini peke yake ndiye anayestahili kuliko wananchi wengine wote. Kama wananchi wameona hao ni watu sahihi wewe ni nani hata useme ni matapeli? Je hii siyo dalili ya kubaki madarakani kwa nguvu? Nini maana ya Uchaguzi? Kwani taifa linakuwa tu salama likiwa mikononi mwake?
Je hili taifa siyo mali ya Mungu? Ni nani anayeweza kulifanya taifa liwe salama zaidi ya Mungu?
Naomba tujadili maana hii kauli imenishitua sana.
Hayo yote sio concern yangu,hata kama Lissu akiwa na 0.01% ya kushinda,swali langu liko palepale!Je,JPM akishindwa kwenye sanduku la kura atakuwa tayari kuachia madaraka?ANASHINDWAJE UCHAGUZI WAKATI ANAWAFIKIA WAPIGA KURA NA LISSU ANAWAFIKIA MASHABIKI NCHI HII WAPIGA KURA HAWAPO MIJINI ANAPOPITA LISSU WAPO MAWILAYANI NA VIJIJINI ANAPOPITA MAGUFURI KAMA UNAKILI USHAELEWA NANI MJANJA
Je Kama hana mpango Wa kuachia madaraka anafanya Kampeni za ninina anaomba kura za nini Kama karuhusu lissu hata kujitutumua jua nchii hii in huru na na kila MTU anaheshimu KatibaHayo yote sio concern yangu,hata kama Lissu akiwa na 0.01% ya kushinda,swali langu liko palepale!Je,JPM akishindwa kwenye sanduku la kura atakuwa tayari kuachia madaraka?
Jibu swali,akishindwa yuko tayari kuachia madaraka?Je Kama hana mpango Wa kuachia madaraka anafanya Kampeni za ninina anaomba kura za nini Kama karuhusu lissu hata kujitutumua jua nchii hii in huru na na kila MTU anaheshimu Katiba
NdioJibu swali,akishindwa yuko tayari kuachia madaraka?