Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka kuna chuo fulan walikua wanakunywa ijumaa hahaja wanalewanjad jpl🤣🤣Zile ukitikisa tu kreti chupa moja ikavunjika zinaweza lipuka kumi kama bomu.
Angekuwepo Mwendazake angekikemea kingefyata,kama alivyofanya kwa coronaWakuu,
Naona mbwa wako very uneasy wanabweka sana.
Kwa hulka yao ya kuhisi hatari ikiwa mbali, nadhani Jobo itapita , ni swala la kumuomba Mungu haya yasitokee.
Hahhhaa leo nna furaha nacheka kwa ngv mnoo..kwamba Hayati alikikemea🤣🤣🤣..au corona ilimkemea🤣🤣Angekuwepo Mwendazake angekikemea kingefyata,kama alivyofanya kwa corona
Yanii sisi haha hatunaga tabu na majanga ya duniani....hiyo jobo yenyewe itashangaa hatuna ushabiki nayoKipite tu mkuu kituache salama.
Hauamini mkuu wangu? kwani iko wapi hiyo corona.mbona mwenzebu siioni mtaaniHahhhaa leo nna furaha nacheka kwa ngv mnoo..kwamba Hayati alikikemea🤣🤣🤣..au corona ilimkemea🤣🤣
Hata mm siion mkuu..iliondoka toka januaryHauamini mkuu wangu? kwani iko wapi hiyo corona.mbona mwenzebu siioni mtaani
Tanzania ni EdeniSie watz hatunaga shida...kitajipitia zake tuliii
Njoo hizi fasi basi na maneno yako tukuone.Chuga hamna kiswahili kuna uhuni mavi tu
Kwan sadaka umetoa mkuu?Wachungaji na viongozi wa TAG wanasemaje kwani..
Tanzania ni Edeni
Tuendelee kuamini Ivo.....Yaani huyu Jobo mpaka aje kufika pwani yetu atakuwa hoi anaenda 20m/h
Equator inatubeba sana na hizi rare cyclone zimetokea mara mbili tu Tz
🤣🤣😂😂😂😂
Smell yake ni Kama chibuku ukianza kuingia chooni kukojoa watu watakaokufuatia baada ya mtumiaji wa hio kitu lazima waseme kuna Ahmada(Chapombe) katoka....... dah nomaHahaha banana naijua..ila sijawah ionje...hahaaa ile smell😎!
Tuko pamoja mzee wa kanisa.Amina mtumishi.