Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna maeneo Fulani around nelson Mandela karibu na mashamba ya maua napapenda sana hivi vile viwanja haviuzwagi au Huwa sielewiMji mpya Sasa ni kutoka njiro kuelekea kiseriani
Ukizhindwa basi nenda Intel au mapambazuko huko ndo uswahilini za baadae
Njiro atomic napo nlipapenda sana hakuna uswahili ila ardhi ya kike sidhan kama ni rahisiNjiro Atomic
Njoo huku Sinoni Daraja Mbili.Kama mada inavojieleza, kijana anaeanza kujipata jijini Arusha, ni mitaa gani rafiki kuanzia maisha na kujenga kabisa
Urafiki ninaoongelea namaanisha upatikanaji wa viwanja, huduma za kijamii, na unafuu kidogo wa maisha
Sinoni ndo penyewe sasa au ashuke dampo kabisaNjoo huku Sinoni Daraja Mbili.
Sema kule atakula vumbia aloh labda ajenge ila kwa kuanzia maisha ya kupanga ni mara mia ngusero au hata kisongo kuleShuka maweni mapambazuko
Viwanja kule vinashkika kweliKikatiti
😂😂 msafara wa mambaNenda kwa mpalange
Intel au Mapambazuko ndo uswahilini kwa badae??Mji mpya Sasa ni kutoka njiro kuelekea kiseriani
Ukizhindwa basi nenda Intel au mapambazuko huko ndo uswahilini za baadae
Sasa itabidi nikutafute, uwe mwenyeji wanguNjoo huku Sinoni Daraja Mbili.
Daraja mbili?Njoo huku Sinoni Daraja Mbili.
Kaa kisongo ukae karibu na uwanja wa afcon😂 napapendaga kule Kuna Barabara ya bypass ya uwanja wa ndege naendaga kufanya mazoezi, au nkiweza ntachkua gar naenda monduli, monduli mjin Kuna mandhar flan nzuri sana alafu kisongo Kuna sehemu mob za kuchill kama tembo club, Amani house, TGT nk huko hamna uswahili kwa maana ya kujuana lakin maisha ni cheap kwa sababu ni sehem ambayo haikujengwa mapema kama kaloleni, kijenge, ungltd, morombo n.kSijazunguka sana Arusha ila kiukweli maeneo ya Kisongo kunaonekana kuzuri sana kuanzia maisha lakini pia sio mbali na mjini daladala zipo za kushato. Wanaojua zaidi watasema
Sehemu nyingine nzuri ni USA au mchai japo ni mbali depend na kazini kwako ni wapiSijazunguka sana Arusha ila kiukweli maeneo ya Kisongo kunaonekana kuzuri sana kuanzia maisha lakini pia sio mbali na mjini daladala zipo za kushato. Wanaojua zaidi watasema
Asante sana kwa huu mwongozo kakaKaa kisongo ukae karibu na uwanja wa afcon😂 napapendaga kule Kuna Barabara ya bypass ya uwanja wa ndege naendaga kufanya mazoezi, au nkiweza ntachkua gar naenda monduli, monduli mjin Kuna mandhar flan nzuri sana alafu kisongo Kuna sehemu mob za kuchill kama tembo club, Amani house, TGT nk huko hamna uswahili kwa maana ya kujuana lakin maisha ni cheap kwa sababu ni sehem ambayo haikujengwa mapema kama kaloleni, kijenge, ungltd, morombo n.k