Jamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisiKisongo kuna wameru?
Nikamjibu kisongo, kwa maana usa wameru kuudha ardhi huwa ni wagumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisiKisongo kuna wameru?
Jamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisiLooh wewe mgeni..
Kisongo ni kwa wameru?😆😆
Jamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisiKisongo ni wamasai kwa wameru ni kuanzia tengeru kwenda USA na mchai
Jamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisiKisongo ni wamasai kwa wameru ni kuanzia tengeru kwenda USA na mchai
Ni sawa lakini haimaanishi USA na Tengeru viwanja haviuziki ila ardhi ya kule Ina rutuba kuliko ya kisongo kwahiyo gharama yake ni kubwa ila ukitaka unauziwa tu pia wameru sio kabila kubwa kivile maeneo mengi USA na maji ya chai wanakaa makabila mchanganyiko mnoJamaa aliuliza kati ya kisongo na usa ni wapi kupata ardh kwa urahisi
Nikamjibu kisongo, kwa maana usa wameru kuudha ardhi huwa ni wagumu
Hujaona gaps izo
Viwanja maeneo ya atomic vinaenda kwa bei gani?Njiro Atomic
KWA MROMBOOOO KIMEUMANA NENDA UKOKama mada inavojieleza, kijana anaeanza kujipata jijini Arusha, ni mitaa gani rafiki kuanzia maisha na kujenga kabisa
Urafiki ninaoongelea namaanisha upatikanaji wa viwanja, huduma za kijamii, na unafuu kidogo wa maisha