Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Wewe unataka ipi darlingIslam au christian
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka ipi darlingIslam au christian
ya mahakama babe😄Wewe unataka ipi darling
Unatolea mahari mtu amechakatwa makumaku imekuwa kama utumbo kitabu.....shwaaaini....bila mahari haiswihi ndoa
Mbona unakazia kazia sana hapo 🤣🤣🤣ya mahakama babe😄
Haina watu wengi wala mambo mengi 🤣🤣Mbona unakazia kazia sana hapo 🤣🤣🤣
Hutaki tucheze amapiano babe kwenye harusi etuu 🤣🤣Haina watu wengi wala mambo mengi 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 tutacheza kwa honeymoon babeHutaki tucheze amapiano babe kwenye harusi etuu 🤣🤣
Aiseee 🤣🤣🤣😘😘😍🤣🤣🤣🤣🤣 tutacheza kwa honeymoon babe
Au hutaki laaziz😍😍😄Aiseee 🤣🤣🤣😘😘
wewe kimwenje mmoja, kama hutaki kutoa hiyo mahari acha wengine watoe wakitakaUnatolea mahari mtu amechakatwa makumaku imekuwa kama utumbo kitabu.....shwaaaini....
Au hutaki laaziz😍😍😄
Umenipa jibu rahisi ambalo halina mantiki hata kidogo, yaani umenijibu tu ilimradi Wala hujafanya tafakari yoyote.Wahindi wana hiyo, sisi tunayo hii wazungu(baadhi) hawana
Una kichwa kizito. Familia ya 'ke inapotoa binti yao aolewe ni kama 'wanapoteza' rasilimali. Wakati upande wa pili wanavuna matunda na juhudi ya ulezi waliyofanya wazazi na ndugu wa bintiUmenipa jibu rahisi ambalo halina mantiki hata kidogo, yaani umenijibu tu ilimradi Wala hujafanya tafakari yoyote.
Sasa habari za wahindi zinanihusu nini Mimi?
Nimekuuliza kwanini unataka nyie wanawake tu muwe mnatolewa mahari kama ada ya wazazi wako kukulea mpaka umefika umri wa kuolewa na wakati hata wazazi wa mwanaume nao wamemlea kijana wao mpaka amefikia umri wa kuoa? Ni kwamba wazazi wa mwanaume ndio hawastahili kupata hiyo ada ya kumlea mtoto wao???
Njoo😍Naanzaje kukataa wakati mutoto mkali ushasemaa
Huko mbali babe 🤣🤣Njoo😍
Hilo sio dhumuni la mahali. Mahali ni shukrani kwa wazazi kwa KUMTUNZA binti anaye ende kuwa mke.Una kichwa kizito. Familia ya 'ke inapotoa binti yao aolewe ni kama 'wanapoteza' rasilimali. Wakati upande wa pili wanavuna matunda na juhudi ya ulezi waliyofanya wazazi na ndugu wa binti
Mwanamme anapoteza nini? Au wazazi wake wanapoteza nini? Atazaliwa watoto wataoitwa kwa jina lake Na kuendeleza ukoo wa mwanamme
Aah wapi! Hata mjane anatolewa mahari. Ndio!Hilo sio dhumuni la mahali. Mahali ni shukrani kwa wazazi kwa KUMTUNZA binti anaye ende kuwa mke.
So mahali hutolewa kwa kilcho tunzwa ambacho ni Usichana wa mwanamke/bikra, ndio maana miaka ya nyuma jamii mbalimbali, zilikuwa na utaratibu wa kutambua kama huyu binti ni bikra au laah na kama hana bikra ndoa haifungwi. Ndio dhumuni la mahali.
Sema siku hizi imekuwa vice versa, siku hizi mzazi hupanga mahali kubwa kisa binti ana degree,ame.somesha mashule ya gharama,wengine wanathaminisha mahali kwa uzuri wa binti,ila hana usichana wake.
Zamani vetting ilikuwa inafanywa si kwenye bikra mpaka tabia na magonjwa ya familia,yaani process ya kuoa ilikuwa sawa na kumtafuta afisa wa usalama wa taifa anaye kabiziwa ofisi nyeti.
Aah wapi! Hata mjane anatolewa mahari. Ndio!
Kihistoria jamii nyingi za wakulima mtu akiondokea nguvu kazi inapungua. Kufuta machozi ya wanaopungukiwa, basi chochote kinachopangwa hutolewa kama shukrani na pia kama kifuta machozi.
Binti anaenda kulima mashamba ya ukoo anaoenda kuolewa yeye na watoto wake atakaozaa na hivyo kuongeza nguvu kazi upande huo
Sio kubisha, ndio ilivyo. Mahari inatoka mzeebaba, hata kwa waliozalia nyumbani vile vile. Viwango vinatofautiana, lkn ilimradi unachukua mtoto wa mtu inatokaEndelea kubisha ila mahali hutolewa kwa aliye tunza usichana wake. Wenzetu miaka ya nyuma ndoa ni process, tena huchukua mda mrefu kabla ya kufungwa kuanzia,bikra,tabia za binti,tabia na magonjwa ya familia yake.
"...Sema siku hizi imekuwa vice versa, siku hizi mzazi hupanga mahali kubwa kisa binti ana degree,ame.somesha mashule ya gharama,wengine wanathaminisha mahali kwa uzuri wa binti,ila hana usichana wake...."Sio kubisha, ndio ilivyo. Mahari inatoka mzeebaba, hata kwa waliozalia nyumbani vile vile. Viwango vinatofautiana, lkn ilimradi unachukua mtoto wa mtu inatoka