Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
usichojuwa kuwa wayaud wapo kila nchi pale middle na sio mwaka 1948 ila hata kabla ya hapoNimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Watakuja kukanusha Wayahudi wa Uyole.Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Lazima utete washirika wako katika matumizi ya kilainishiNyie endeleeni kuangalia kwa jicho hata la husda.
Sisi tunasikilizia tu israel abutue yanayomuhusu na tuone mwisho wake ataakua yepi haswa.
Endeleeni kuleta historia zenu tu jf.
Kwa hiz akili zako za matope unafikiri wayahud wote ni wazungu. Wako wayahud waarabu wapo waafrica wapo wahindi wapo wazungu wapo wairan nk nk.Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Lazima utete washirika wako katika matumizi ya kilainishiView attachment 2807124
Hahahaha huu mkwara wenzio walilianzisha hapo kibiti watafute wakuambie kilichowapataWeka akiba ya maneno, tukiamua kulianzisha hapa mtapoteana wote, labda mkimbilie kenya
Hawa kwao buza
Israel imeundwa na UK pamoja na USA ndani ya taifa la palestina mwaka 1948. Na baada ya hapo Israel inaendelea kijitanua kibabe kila aiku,. Mipaka gani unaoulizia wewe? Ya mwaka 1948? Au ya 1967 au ya sasahivi?
Hao mayahudi ya kizungu pale sio kwao sasa hayo maeneo yao ya kihistoria yapo ulaya
Wanatoka style hiiKawatoe
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Wapambe au wafuasi wengi wa yesu walikuwa ni wapalestinaTupe na wewe historia unayoijua kuhusu Palestina! Tumia hata Quran kutuambia.
Ile si kujiunga tu, kama vile sasahivi Ukraine inataka kuwa ulaya.Ilikuaje Turkish/Uturuki wakaingia Bara la Ulaya?
Wale wazungu pale Israel ni wavamizi na mataifa haya ya Africa waarabu ni wavamiziMorocco,Misri,Algeria na takataka zote hizi nazo zirud kwao middle east
Sasa hujui Yusufu na Musa walioa waafrika?
Hawezi kukuelewa mkuuHuenda ukawa na hoja, jaribu kuidadavua vizuri kwa kuweka sawa facts za kihistoria na kijiografia ukiachilia mbali hiyo ya mtazamo wa machoni.
Wanatheolojia watakuja hapa kukujibu kuhusu uwepo wa mataifa mawili. Taifa la Sarah na Taifa la Mjakazi wake Hajiri.