Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
Msipo ingiza hoja za kidini, mwandishi amekuja na hoja nzuri hebu tutafute ukweli, nyetanyahu babaake anatokea Marekani. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani naye Anajitambulisha kama myahudi ,Irani ina watu wanaojitambulisha kama wayahudi, Saudi Arabia Misri Nako hivohivo hwa watu wakoje wanarangi ipi