Jamaa anajikuta Nyerere wa ukweli hadi anaiga kuacha ndevu chache mdomo wa juu kwenye mfereji wa pua.
Ni mzee wa chama na mjumbe wa kudumu wa baraza kuuKusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hivi zile kesi ziliisha au zilitulizwa tuYule anaenda kushindana na Samia kwenye uraisi you will see
Ni tajiri, hivyo ulivyotaja hakuna hata kimoja chakumkosesha raha.Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Uongo .........walichoma bank miaka ile ............ili kuficha kashfa ya pesa walizoiba........unaweza kukataa kazi bank wewe labda kama ya kufagiaMbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa
Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.
alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
Swala la hela ilo ondoa...wale wana mahela tangu miaka ya 70Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hehe ziliisha?Kesi za mchongo
Wachaga hawako hivyo, hakunaga utoshelevu wa pesa kwao, hii fursa aliyopteza ilikuwa nuhimu sana ndio maana hadi amepigwa rungu zito ndio akakubali.Mbowe swala la pesa kwake hata sio tatizo huyo katokea familia bora Sana kiuchumi .
Sio wachaga tu,bakhresa anauza hadi nazi na chapati,hela huwa hazitoshiWachaga hawako hivyo, hakunaga utoshelevu wa pesa kwao, hii fursa aliyopteza ilikuwa nuhimu sana ndio maana hadi amepigwa rungu zito ndio akakubali.
Atamwambia Lema nini🤣
Kweli Ila at his age hakuna alichopoteza anapata nafasi ya kuendelea na kile alichokuwa anafanya pia sifikirii Kama halikuwa anategemea chanzo kimoja cha mapato ili kuendesha maisha yake.Wachaga hawako hivyo, hakunaga utoshelevu wa pesa kwao, hii fursa aliyopteza ilikuwa nuhimu sana ndio maana hadi amepigwa rungu zito ndio akakubali.
Atamwambia Lema nini🤣