Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Mbona BAVICHA umeisha salama?Kutatokea vurugu kubwa sana, hatua zichukuliwe haraka ili wapewe muda kupunguza munkari
Chawa wa mbowe wanahaha baada ya kuona kitega uchumi chao kinayeyukaHii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Watu 300kidogo?Huo wa watu 50, wachache sana
Hakuna vurugu mkuu maana ukumbuni watakuwepo wapiga kura tu na watu ambao wamepitishwa na kamati kuu kuwepo kama viongozi wa taasisi nyingine ambao watakuwe pembeni kushuhudia uchaguzi tu...hataruhusiwa mtu mwingine zaidi ya hao...Tunataka mtu apigwe kihalali kusiwe na malalamiko ya kuibiwa.Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Kuna makundi makubwa ya watu yamesafirishwa kuja kudabya fujoHakuna vurugu mkuu maana ukumbuni watakuwepo wapiga kura tu na watu ambao wamepitishwa na kamati kuu kuwepo kama viongozi wa taasisi nyingine ambao watakuwe pembeni kushuhudia uchaguzi tu...hataruhusiwa mtu mwingine zaidi ya hao...Tunataka mtu apigwe kihalali kusiwe na malalamiko ya kuibiwa.
Wataingia ukumbi gani? Ni fear of unknown.Kuna makundi makubwa ya watu yamesafirishwa kuja kudabya fujo
Labda mapandikizi toka ng'ambo ya piliNatabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
CCM mtachanganyikiwa safari hii hadi maji mtaita mmaaaaaa!!Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Ww ni mpuuzi kweli yaani Mwezi wa 12 mmemaliza Uchaguzi wenu!Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Iwapo mliokuja kwa mkopo mkazitengeneza,kilakitu kimenyoooka.Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.
Nimecheka kwa nguvu, ushauri toka kwa wategemea mbeleko ya vyombo vya dola. Yaani kama mmempa Mbowe hela zenu ujue safari hii mmeukalia.Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema.
Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha kukinga uharibifu.
Ni busara ya Msajili wa Vyama vya siasa kusogeza uchaguzi mbele mpaka disemba 2025 vinginevyo roho za watanzania na mali zao ziko hatarini.