Kisota unaijua vizuri lakini? Hebu jipe muda utembelee baadhi ya mitaaNimefikia kwenye kibanda changu nilijenga kigamboni kizota huku lakini hata huku bado naona ni maporini tu niludhani daraja litabadilisha kukuza kigamboni bado sana
Mbwembwe zote izo kumbe unaishi kwenye kibandaNimefikia kwenye kibanda changu nilijenga kigamboni kizota huku lakini hata huku bado naona ni maporini tu niludhani daraja litabadilisha kukuza kigamboni bado sana
Kuna wazungu nilipanga nao nyumba moja wale wanaokopesha vyombo enzi hizo ndo wanaanza hizi misheHahaha wazungu choka mbaya.
Mkuu hao wamejaa kigamboni huku sijui hata wanatoka nchi gani.
Wengine wamepanga kabisa mtaani huku asubuhi tunakutana nao kwenye mihogo.
Hebu Kunywa maji kwanza ukate povuWabongo bana tukienda nje kidogo tu tunataka kila mtu ajue na ndio lengo la uzi wako tumeshajua
Mkiona bongo bahati mbaya rudini hukohuko diaspora
Msituletee show off za kijingajinga ushamba tu
Aisee MkuuMkuu,
Weka mapicha basi na wewe tuone Bongo ilivyochoka.
Mimi nilirudi hivyo hivyo nikashangaa barabara zina mashimo mpaka Oysterbay shuleni.
Bongo lile jua tu linapausha vitu, ukipaka rangi leo, miei sita pashanyauka.
Watu wa dar hua hawataki kabisa kusikia hizi habari wakati wao ndio wanajiona kama hapo walipo ni mbinguni 😃Aisee Mkuu
Nitafanya hii project uone mwenyewe
Obey kuna mitaa mixhache sana tu ndio inebakia poa kwa utulivu
Zile nyumba zote za vigae zimegeuzwa pubs na vibar mshenzi
Ndio wanapita na boda mpaka kuzimia kwa mujibu wa JF news. Yani wazungu choka mbaya wanakuja kutuf#@ria watoto wetu ?Wazungu choka mbaya nao wamekuja kudanga huku kwa wadada na wakaka masikini wale kitu cha moto nachuro sio wale kitimoto wenzao wanaowakimbia huko
Mkuu kwani satellite maana yake nini?Sema bongo Bado sana kama jamaa anavyosema, kuna ka mji sijui ni mkoa gani kanajengwa naona ilo eneo wamepaita "Satellite City " nikashangaa nikaasema satellite city wakati matundu ya choo bado wanajenga mpaka leo, hivi wanajua maana ya neno satellite
Amekataa Bongo ilivyo sio sisi...
Satellite ni kifaa kilichowekwa kwenye obiti kuzunguka Dunia kwa sababu za kisayansi, kijeshi au mawasilianoMkuu kwani satellite maana yake nini?
Labda uwe muarabu connection chap chap tena unachagua mwenyewe.Natafuta connection hapa [emoji1787]
Wachache watakuelewa bongo ni ya kifala sana. Huitaji kwenda ulaya kulijua hilo, nenda tu pale Nairobl ukae mwezi mmoja afu urudi Bongo kudadeki utakubaliana na wazungu wanaosema Dar ni kijiji pembezeno mwa bahari ya hindi.Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka
Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.
Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.
Katikakati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.
Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?
Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.
Povu ruksa!
Mimi nafikiri hapo valid objection labda ilikuwa kwenye neno city, si kwenye neno satellite.Satellite ni kifaa kilichowekwa kwenye obiti kuzunguka Dunia kwa sababu za kisayansi, kijeshi au mawasiliano