Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya?

Kwa uelewa wako wa Law of Treaties agreemet kati ya nchi na DP world ( kampuni) inahitaji ratification?
 
Inasikitisha wakati tuna nguri wa Sheria za Kimataifa wanaandaa IGA katika hali hiyo ya utata na Bunge lenye wasomi, uelewa na uzoefu linaridhia.

Hoja zako za awali zimenisukuma kutafiti na kupata moja ya BIT kati ya Oman na Tanzania (ambatanisho), ambao kama mkataba wa IGA kati ya JMT na Falme ya Dubai ungeandaliwa hivyo, kusingetokea sinyofahamu kubwa kama ilivyo sasaView attachment The Sultanate of Oman - Republic of Tanzania BIT.pdf
 

Kwa huo mkataba wa IGA, ulivyotayarishwa, hakuna shaka ya kutokea yatatokea. Sasa najua nyuma ya sakata hili la mkataba wa hovyo kuna rushwa kubwa ya kimaifa iliyofubaza akili na kufunga midomo ya wenye maamuzi kwa niaba ya WaTz.

Kwa msingi wa hoja yako hiyo, kuna ukweli usio na shaka, kuwa nchi inawekwa kwenye utawala wa Falme ya Dubai kupitia DPW inayopewa hadhi ya kinchi kwa mkataba wa IGA.
 
Yaani Bunge limeridhia mkataba kati JWT na kampuni badala ya Dubai kama nchi? Duh makubwa.

Kwa taafsiri (isiyo rasmi) “DPW” au “DP World” (kwenye huo mkataba batili) inamaanisha DP World MEA Ports FZE, kampuni inayomilikiwa na serikali ambayo inamilikiwa kikamilifu na PCFC inayomilikiwa kikamilifu na Emirate ya Dubai (100%) ambayo kwa mkataba huo (IGA) inapewa mamlaka na madaraka ya kuanzisha Kampuni moja au zaidi za Miradi nchini Tanzania kwa madhumuni ya kutekeleza Shughuli za Mradi (kuendeleza na/au kuboresha uendeshaji na usimamizi wa miundombinu ya kimkakati ya Bandari za Bahari na Maziwa Tanzania, kanda maalum za kiuchumi, hifadhi za usafirishaji na ukanda wa kibiashara wa Serikali ya Tanzania; na kuboresha bandari).

NB: Katika mkataba huo IGA eneo inamaanisha eneo la nchi kavu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikijumuisha eneo lake la bahari, anga, na maeneo ya baharini ambayo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatekeleza mamlaka
yake na haki zake za kujitawala kwa mujibu wa Sheria ya Kimataifa ya Umma. Hivyo basi, eneo lililo kwenye mamlaka ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pia linahusika. Alooo!!!

YAJAYO YANAFURAHISHA kama si KUHUDHUNISHA
 
👏👏👏
 
Wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwa na mkataba wa Belbase (The Treaty of Belbase) ambao uliingiwa baina ya Tanganyika, Congo, Rwanda na Burundi kutumia bandari yetu milele (Infinitely) huku wakilipa paundi mbili (2) kwa mwaka

Naongezea kuweka historia isiyofahamika sana wala kuandikwa katika lugha ya kiswahili lakini imeandikwa sana katika lugha zingine kubwa za kimataifa

22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 May 1926 46,47

(46League of Nations, Treaty Series, vol. 54, p. 239.)

(47See also the Agreement between the United Kingdom and Belgiun regarding Water Rights on the Boundary between Tanganyika and Ruanda-Urundi, London, 22 November 1934, in Legislative Texts and Treaty Provisions concerning the Utilization of International Rivers for Other Purposes than Navigation (United Nations publication, Sales No. 63.V.4), p. 97.)

No. 1 - The British Ambassador at Brussels to the Belgian Minister for Foreign Affairs

Brussels, 17 May 1926

Monsieur le Ministre,

I have the honour, under instructions from His Majesty's Principal Secretary of State for Foreign Affairs, to convey to Your Excellency by the present note the formal acceptance by His Majesty's Government of the Protocol signed at Kigoma on 5 August 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

I am at the same time instructed to draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and to invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that, at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

I should be grateful if Your Excellency would be good enough to confirm to me that the Belgian Government is in agreement with His Majesty's Government with regard to the arrangements indicated in the preceding paragraph.

I avail myself of this opportunity, etc.

No. 2 - The Belgian Minister for Foreign Affairs to the British Ambassador at Brussels

Brussels, 17 May 1926

Your Excellency,

I have the honour to acknowledge receipt of your letter of today's date, in which you are good enough to inform the Royal Government that His Britannic Majesty's Government accepts the Protocol signed at Kigoma on August 5, 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika Territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

The Belgian Government also approves these documents.

At the same time you draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

The Belgian Government has the honour to confirm to Your Excellency that they are in agreement with His Britannic Majesty's Government with regard to these arrangements.

................................................................

100 YEARS BELBASES

A FORGOTTEN PAGE OF BELGIAN COLONIALISM IN AFRICA

Belgian bases in East Africa



The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past: the Belbases in Tanzania.

In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.

But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.

This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.

Belgium leased the concession for a symbolic franc per year, where it could build docks and warehouses, initially in perpetuity, from 1956. for 99 years.

Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).
In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.

The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.

Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for the takeover of the installations.

March 15, 1921​

On March 15, 1921, the Belgian and British governments signed a convention concerning " the free passage of persons, mail, goods, ships, vehicles and wagons from or to the Belgian Congo ", including the protectorate of the Rwanda - Urundi.

The last Belgian manager​

From January 1992 to December 1995, Guido Fallentheyn was the last Belgian manager of the Belbases in East Africa.

Source : Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique
 
Inakuwaje Bunge tukufu chini ya mwalimu wa sheria linatunga sheria batili??
Bunge lililopitisha madudu haya sio hili Bunge la Dr. Tulia, ni mabunge ya nyuma!
Tatizo la bunge letu ni la kimfumo, tofauti na mabunge ya nchi kama Uingereza au Marekani ambayo yanafanya kazi ya 'kutunga' sheria, bunge letu 'linapitisha' sheria.
Ni kweli, Bunge letu ni Rubber Stamp tuu linapitisha madudu yote ya serikali!. Ukiondoa Bunge la Mzee wa Speed and Standards, sikumbuki Bunge lingine lolote kugomea hoja za serikali!. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
Kila kitu kinafanywa na serikali, sheria zote zinaandikwa na serikali na kupelekwa bungeni 'kupitishwa'.
Ni kweli, huu ni udhaifu mkubwa!.
Hata wakijaa ma profesa watupu, as long as mwenyekiti wa CCM anatarajia bunge 'lipitishe' sheria na maazimio ya kuisifu serikali kwa maslahi ya chama chao, basi madudu haya hayawezi kuisha.
Naunga mkono hoja, na niliwahi kushauri Je, Bunge letu linaendeshwa kikada? Ili tuwe na Bunge la haki, lenye uwezo wa kuisimamia Serikali Kikamilifu, kuna haja Spika asitokane na vyama?
P
 
Tatizo la msingi katika mbunge ni nini?
1) Mfumo wake wa kujadili na kufikia maamuzi?
2) Uongozi wa Bunge, kwa maana Spika na timu yake?
3) Wabunge kwa maana:
• wanavyopatikana?
• elimu, uwezo, uzoefu, ufahamu?
• uaminifu kwa chama?
4) Utashi wa kisiasa wa viongozi wa Serikali kwa maana ya Rais na wateule wake?
 



Hivi wewe ni Mwanachama wa TLS? Kweli vigezo vya uanasheria viangaliwa upya
 
Sawa Mkuu, ahsante sana kwa muda wako na ufafanuzi murua ulioutoa.
Kumbe huwa huishii tu kuandika hapa jamvini badala yake huwa unawatumia nakala kabisa!
Hapana, mimi nina safu zangu weekly kwenye baadhi ya magazeti, hivyo wanasoma wenyewe au kupitia wasaidizi wao, mimi na monitor tuu matokeo.
Maana najua wana majukumu mengi sana.
Hivyo kupata muda wa kusoma makala zako (ambazo mara nyingi huwa ndefu sana) ni nadra sana.
It's true nyingi ya makala zangu ni ndefu ila huwa naweka short version kwenye Twitter hivyo ujumbe unawafikia.
Lakini kama huwa wanapata watu wa kuwafikishia basi ni jambo jema sana.
Yes kuna watu wanawafikishia, na nyingine wanasoma wenyewe in person Thinking Aloud: Hongera JF kulisaidia Taifa, "Atakuwa anaingia JF in person na kutusoma!". 2021 let's be more responsible, more strategic
P
 

"Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, kwanini TLS walikaa kimya?"

Wewe si TLS? Nikisemaga wewe ni mtu wa hovyo nashambuliwa, wewe kama mwanachama hai, tujibu hili swali faranga wewe.
 
Yes mimi ni TLS, ila mwanachama yoyote wa TLS yuko huru kufanya lolote as an individual lakini TLS ni taasisi, maamuzi ya TLS ni maamuzi ya ki taasisi.

Mimi as individual member wa TLS sijafanya lolote, ila hata kuhimiza tuu kama hapa Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu? it is something.
P
 
Kaka Paskali,
Nimeshangazwa na baadhi ya mitazamo yako kwenye hili andiko lako. Nina maswali haya ambayo naomba unipe majibu au ufanunuzi wake;

1. TLS ni nani? Rais wa TLS, wanachama wa TLS, au wote rais na mwanachama ndiyo TLS? Kama jibu TLS ni rais wa TLS, kwanini kwenye kujadili lolote lazima aite wanachama? Kama jibu ni Rais na wanachama, kwani hukuyasema hayo yaliyokaliwa kimya wakati wa mkutano?

2. Unasema wewe ni mwanachama wa TLS kwa vile ni mwanasheria, HAYA UNAYOSEMA TLS IMEKAA/ILIKAA KIMYA WAKATI YANATOKEA, HUONI KUWA UNAJISEMA MWENYE KWAMBA ULIKAA KIMYA?

3. Kama TLS wana uwezo wa kukosoa kama ilivyofanya kwenye hili la bandari, kwanini mngoje hadi wakosee ndo muamke kusema makosa? Kwani msiwe sehemu ya kinachokwenda kutokea?
 
Tatizo la msingi katika Bunge ni nini?
Tanzania tuna matatizo makubwa katika mifumo, systems, serikali ina matatizo, Bunge lina matatizo, Mahakama ina matatizo!.
1) Mfumo wake wa kujadili na kufikia maamuzi?
Bunge lilipaswa kuwa linatunga sheria, Mahakama inatafsiri sheria na serikali inatekeleza sheria, lakini Bunge letu halitungi sheria, serikali ndio inatunga sheria, Bunge linaipitisha kwa rubber stamp.
P
 
Kwenye hili hata sisi wananchi tuna matatizo kaka Paskali. Mfano mdogo, tu, ULIYOAMBIWA WAKATI UMEITWA BUNGENI HUJAWAHI KUYASEMA..!! Why?
 
Mr. Mayalla, makala zako huwa zinakuwa kwenye magazeti yapi maana magazeti mengi ya Tanzania contents zao hata hazivutii kabisa ukiacha THE CITIZEN, ukilinganisha na Magazeti ya Kenya kama DAILY NATION, THE STANDARD, FINANCIAL TIMES na mengine wapo very investigative na flow ya news zao zinavutia sana. Mfano wakati huu wa sakata la bandari huoni hili suala likipewa kipaumbele kwenye magazeti yetu ili kuongeza pressure kwa serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…