Kwa Lomalisa na Bigirimana Pesa ya Tajiri imepotea, na nilichokiona kwa Aziz Ki ni 'Domo Kubwa Kuvimba' lake tu na Kukosea Kwingi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msifie wee bas, vipi ni amekuoa wee??
Samahan shost, mumeo namsifia kiuchezaji sio vinginevyo, kuwa na amani mwayaaaaa.
Ungejua pahali ilipo kambi ya fisi usingeropoka hivyo, hujui leo hii utavamiwa na fisi wewe, Chunga domo lako binti
 
Hivi nyinyi mnashabikia ufundi uliooneshwa au vipaji binafsi. sasa sisi watanzania tulio nje ya nchi na ambao tunataka kujua ufundi wa timu , je tuzidi kumlilia kocha aongeze ufundi wake au wachezaji wawajibishwe. jamani acheni mzaha chambueni kiukweli kuhusu Yanga ili marekebisho ya ufundi yafanyike.sisi tulitaka kisomo cha kocha kichambuliwe jinsi midfilders wanavyo link na offence dept uwanjani.

kama wewe unajua mpira wa kisayansi kumchambua mchezaji mmoja mmoja hakuna tija angalia ufundi wa timu ambao midfiders wanavyo link na makeki na washambuliaji. hapo sasa chokoza ili tumsute kocha. amin amin nawaambieni hata ukimweka pele wa 19580 na maradona na robeto bagio kama midfiders hawana kisomo cha link ya kuwatafutia vyumba basi utawaona hawawezi soka. hivyo tuchambue ufundi ulikuwaje jana ili nasi tuelimike na kuweka hoja ya kumdai kocha. get ma point amigos
 
Me sio shabikii wa yanga but hao watu ulowataja haswa bigrimana umemkosea heshima kabisaa wewe acha ushabiki me MWenyewe nimeona mpira wa gaeL nkasema kweLii funDii
 
Mamaeeeee aahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…