Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kosa ulilifanya, ila Mungu alikunusuru na ajali tu.
Utafumbaje macho wakati umelenga kuua? Target yako utaimaintain vipi kupatia kuipiga?
Ndiyo maana huyo kibwengo ulimkosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi msafara wa kigwangala si dereva nae anasema aliona twiga,wachawi hawana chama hahahahah aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ajari mpaka leo siielewi
Lile gari la kigwa lina teknolojia ya ku detect any moving object mbele yake pamoja na auto brake
Yani kwa mfano uko speed then mbele ghafla gari lingine hili hap
Lile gari litakutaadharisha usimame na baada ya sekunde kadhaa linasimama lenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2013 kuna jamaa alikua na cruiser usiku ndani yuko na binti amemuokota disco
Jamaa akawa anatoka town anaelekea sijui wapi speed hatari
Ghafla akapoteza uelekeo akagonga miti kama 3 akanyofoka nayo
Then kwa mujibu wa mmoja wa walinzi wa maemeo yale binti akatoka anakimbia
Jamaa akakutwa ubongo chini ushamwagika
Inasemekana yule binti alikua jini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu watakuambia uchawi haupo!
Waende kigoma siku 1 au Tarime
Wakati niko mdogo huko tarime nikiwa darasa la 4 au 5
Usiku mida ya saa nane.nilikua nimelala na kaka yangu ila mi niko ukutani
Ghafla nikastuka naona watu kama watatu wanaimba "hakuna hakuna"
(Kulikua na mwanga wa taa kidogo) nikapiga kelele wakapotea ila mmoja nilimtambua ni bibi fulani wa pale mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Limesimama tu halifanyi kitu ? Na hukugeuka nyuma ?
Hii nyumba nilipo saivi kuna tetesi kuwa wapangaji waliotoka
Kuna siku mwanamke mmoja alikua hapa sebureni nilipo mimi mchana wa saa saba
Akasikia hodi ya sauti ya kike, kufungua mlango akakutana na kiumbe kama hicho
(Jirani yetu ni mganga)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sekeke pale dalajani kila nikipita usiku huwa namuona bibi kizee anakatiza barabarani huwa huwa sisimami , pia kuna sehem inaitwa machinjioni ukiwa unakwenda Rwanda bibi huyo huyo huwa nakatiza road huwa sisimami yaan mpaka nimeshazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana wanasiasa wanadanganya watanzania kirahisi sana.
Yaani huu uongo umeandika kama vile unawaandikia watoto wa shule za chekechea.au umetoa kwenye movie. Eti ukatoa bastola 9mm ukawaoneshea dirishan huo usiku nao wakaiona, pia ukawasikia wakiongea,ukajua wapo wangap kwenye gari majambazi hata hawakuweka tinted? Walifungua tu vioo uwaone nadhan waliwasha na taa kabisa uwahesabu, ulipunguza sana mwendo nao wakapunguza wakuoneneshe wapo wangap, na pia wakusikie... Na waone una bastola...

Huu uongo wa kitoto muwe mnaambiana huko shuleni wakati wa break au vijiweni. Anyway watu huwa mnatafuta jukwaa la kuuzia chai.uliona ukisema mauza uza hutaweza sema nliyaonesha bastola ukaona uje na version yako.

Haya baadaye ukakutana na mengine kwenye lorry, hayo ukayaonesha mabomu hand grenades au machine gun yakasema ...tusepe tu.
Acheni utoto na kutafuta sifa za kijinga
 
Hii haina part two yake?

 
Utingo alikuja kukanyaga brake wewe ukiwa umetoka kwenye kiti cha udereva au ukiwa pale pale?

Aisee... Gari ilinyooka tu sababu barabara ilikuwa imenyooka? Ha ha ha.... Wadau muwe hata mnatufikiria na sisi wasomaji.si kwamba ni wajinga sana. Sometime tunasoma ili tuburudike lakin haimaanishi kuwa ni wajinga sana .


 
Chai chai chai... Kikombe sh ngapi? Acheni fix madogo...

 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu, ukitoka Mombo naenda mazinde, kuna eneo lina kosa kali sana, nilikutana na madude ya ajabu mpaka niliogopa kuendelea na safari na usiku ule sikupata usingizi kabisa.

sipo hapa kumfurahisha mtu. Over.
Kweli umefanikiwa kutokutufurahisha maana hata hujatuambia ni madude gani
 
Yaseme hayo mnayoyaona huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mauza uza ni nini hayo? nataka siku nikutane nayo nimeendesha sana night kali na napenda sababu ya speed so nipite njia gani nikutane hata na jini, nije kusimulia masela.
Wewe yatakuondoa kabisa
 
Mtu wa kupanda nabasi daima dumu utamjua tu.
Najua kwako its too good to be true!
Kwa taarifa yako mkuu na hilo si tukio la kwanza, na tembea sehemu hizo HATA LEO, na wewe uje na hadithi yako.
 
Ulimwambia kuna uzi wa mauzauza ya barabara ndo jamaa akakupigia kukusimlia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…