Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Nikisema sijawahi panda basi ntakuwa muongo na mpuuzi kama wengine. Nmetumia kila usafiri uliopo tanzania.but tu sipend sifa za kijinga na kitoto.uongo usio na maana.unaona movie unakuja kusimulia humu ukidhan wote ni watoto kama wewe. Muwe mnatuheshimu hata kusema uongo kunataka uwe na akili ikiwa unatka kudanganya wenye akili.

Ulichoongea ni uongo wa wazi kabisa yaan kuna hoja zako hazijakaa sawa na nmeziweka wazi hapo. Mimi nmekwambia sababu nafaham kwenye speed kubwa barabaran tena usiku huwez pata muda wa kufanya iliyoyasema ni uongo.na pia huwez jua kwenye gari jiran wapo wangap ni uongo, huwezi wasikia watu wakiongea sababu ya upepo mkali ni uongo.

Kabla hujasema uongo tumia akili hata kidogo

Mtu wa kupanda nabasi daima dumu utamjua tu.
Najua kwako its too good to be true!
Kwa taarifa yako mkuu na hilo si tukio la kwanza, na tembea sehemu hizo HATA LEO, na wewe uje na hadithi yako.
 
Hivi ya hivi nayo yapo?yanauzwaje...kwa hiyo hayapatagi ajali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha...jamaa yangu mmoja anasema na yeye jana tu amekutana na hayo majambazi na gari lile lile akayaoneshea SMG ndo yakakimbia yeye alikuwa anaendesha gari Cadillac SUV ya mwaka 2017.alikuwa speed 170. Baadaye akayaacha alipokanyaga mpaka speee 190.

Ha ha ha ha.... Achana na hao wanaopanda mabasi sisi wenye magari na silaha za moto tutoe stories zetu.

Mtu wa kupanda nabasi daima dumu utamjua tu.
Najua kwako its too good to be true!
Kwa taarifa yako mkuu na hilo si tukio la kwanza, na tembea sehemu hizo HATA LEO, na wewe uje na hadithi yako.
 
Na hatupigi stori za kufurahisha jamvi, sasa kitu hicho 9mm Mrusi, na ninacho kisheria.
Mtoko wake sawa na mzinga.
Saa mbili, tar 1 leo.
Somo: usisafiri kama bibi Tereza
 
Mkuu AK47 SMG kisheria hairuhusiwi kwa matumizi ya raia.
 
Mimi hii imenitokea Handeni-Tanga nikiwa naendesha gari nimewapakiza ndugu zangu watatu ghafla ikatokea pikipiki ikiwa na watu watatu (mshikaki) wakiwa wamejaa upande wangu niliwakwepa marambili bila mafanikio wakajaa kwenye ngao nikasimama chaajabu ngao haitamaniki lakini pale chini hakuna pikipiki wala majeruhi.....niwiki yapili sasa bado sijapata majibu ya kilichotokea
 
,[emoji23][emoji23]mkuu hukuchukua namba za huyo mzee tuwasiliane nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
9mm ilikusaidia kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa Jini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete visa ulivyokutana navyo baharini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…