Mkuu Sub Machine Gun (SMG) ni silaha ya kivita, kumiliki kwa matumizi ya kawaida sio rahisi.
Tushirikishe mkuuNimeona Visa Vingi ni Vya Maeneo ya TANGAAA...tanga balaaa sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahah chai hiiKuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
haya mambo yapo kaka wew shukuru mungu tu hayajakukutaHakika nisiwe mwongo, nasafiri sana usiku tena pekeyangu sijawahi kuona chochote kitu. Haya ni maneno ya waafrika wenye uoga moyoni na imani za kujumlisha.
Duuh maharagee haya haya usiku una mambo mengi sanaKuna ndugu yangu
Mwaka juzi alikua speed mida ya saa 5 usiku ghafla akamuona mtu barabarani katikati.
Akamgonga then akasimama fasta .kushuka hakumkut yule mtu akakuta maharage
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maharage .mkuu
Hapo sasa hukula maharage mwez mzima kila ukiona mnwaza yaliyowakutaNdio maharage .mkuu
Yule mtu hakuonekana kabisa na palikua kwenye rami kuna taa
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh[emoji23][emoji23]Hapo sasa hukula maharage mwez mzima kila ukiona mnwaza yaliyowakuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakaa kwa shemeji yako hujawahi kusafiri lazima uone ni uongo mkuu! Anza maisha ingia barabarani usiku kucha utakiri haya mambo yapo.Nimeufatilia huu Uzi mwanzo hadi ulipokomea nimegundua watanzania wengi ni waongo.
dah jaman hizi story nyengine Nina was was Nazo maana mnanieka kwenye dilema, cjui niamini au laaa
Dah kuna maeneo umeyataja humo yananikumbusha mbali sana... Tanga wilaya ya Mkinga....Ni safari moja tu ndio nimewah kufika home late saa saba halaf home sikusema kama nakuja na niko hivo hua wananishtukia tu nipo, lakini sijawah kukumbwa na hiyo kadhia tena napenda sana kufika home usiku sema sio wa manane
Kuna siku pia tulienda shamba la moja la mkonge liko mnazi, ni mbali tulikua kama watu wanne nikiwa mwanamke alone kwenye ule msafara, wakat tunarud dereva akasema tuchanje mbuga kwa mbuga tusipite ya lami tutazunguka sana tulipokua mbugan gari sjui ilikanyaga nn ikaserereka karib iingie kwenye kidaraja tukashuka hatukuona chochote tukaendelea kuja tokea sehem kunaitwa maramba tayar usiku saa mbili hivi, tukatembea hapo hakuna alieku na waswas kuhusu nn tulikanyaga kufika eneo linaitwa gombero alitoka nyoka upande wa dereva anavuka dereva akamkanyaga tena nikapiga kelele nyoka ikabidi tuangalie hatukuona kama amekanyagwa sikua na waswas kabisa leo ninesoma hapa nimerecall hayo matukio maybe yawezekana n hayo mauza uza au ilikua kweli
Gombero maramba mkuu au??Dah kuna maeneo umeyataja humo yananikumbusha mbali sana... Tanga wilaya ya Mkinga....
Sent from my VKY-L29 using Jamii Forums mobile app
Hukuhuko... Nilikuwa maramba pale like miaka minne iliyopita...Gombero maramba mkuu au??