Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή ni huzuniiiii
 
Ulitegemea CDF aeleze kiiilakitu?? Refresh ubongo wako masta
 
Ukitaka kuanza kuulizana haya maswali wewe na hao kina Mabeyo ndo mtageuka waongo wa kutupwa! Nyie si mlikuwa mnabisha hata kama anaumwa mkasema yupo ofisini anapiga kazi hawezi kwenda magomeni.

Hata ishu ya kuumwa aliianzisha Lissu na mkabisha asilimia elfu
 
Kikubwa hapo ni kifo cha Magufuli
 
Au unataka kusema kuwa Magufuli hakuwa anaumwa?
 
Pumbafu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ubongo wako umechanganyika na haja kubwa wewe hata hujui unaandika nini. Tunachoshukuru tu watanzania ni kuwa Lissu yuko hai na dhalim Magufuli yuko motoni.

Alafu wewe utakuwa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…