Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
 
Unaweza kushangaa, wakikua watakata hiyo minazi, kugawa viwanja na kuviuza.

Hicho ni kizazi cha motoooo!
Nimeandaa hivi ili kama niko hai nisije umiza kichwa kuja kuwahudumia kama sitakuwepo wakija kuuza ni ujinga wao kwani mimi sitashuhudia mateso yao pindi wakipigwa na maisha
 
Nimeandaa hivi ili kama niko hai nisije umiza kichwa kuja kuwahudumia kama sitakuwepo wakija kuuza ni ujinga wao kwani mimi sitashuhudia mateso yao pindi wakipigwa na maisha
Ata mm nikikua ntka kua kma ww bro

Ila nikukumbushe kitu kimoja tu hilo eneo zungusha fensi usione tabu kabisaaa narudia tena zungusha fensi
 
Habari wanajamvi
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili
Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000
Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
Nb wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni
Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku
Utapanda Minazi 400 kwenye Shamba la Hekari mbili?
 
Back
Top Bottom