Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Majitu myeusi yamejaa NEGATIVITY asilimia kubwa ya COMMENT ni za kukatishana tamaa.Alafu wengi wamerithishwa ROHO YA UBINAFSI, haishangazi kwanini mpaka leo BLACK PEOPLE hatuna GENERATIONAL WEALTH.

Wanaocomment awape elimu sijui ujinga gani. Hawa ni kundi la MAZWAZWA wamekariri maisha na maisha yataendelea kuwachapa na kila siku mtakuwa WABANGAIZAJI.

Hii elimu ndo imezalisha machawa, mawinga, na madalali uchwara sasa mtu amejitahidi kufikiri nje ya BOX bado mijitu inataka imdidimize aendelee kufikiri kama yenyenyew mi BLACK PEOPLE/ HALF HUMANS HALF ANIMALS!!!

#BLACK PEOPLE SIKU WAKIACHA UBINAFSI WATAITAWALA DUNIA!!!

CHA AJABU HIYO SIKU HAITAKAA IFIKIWE😭😭😭
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Hizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.
Nashawishika kutafuta shamba Sengerema au Buchosa.
 
Hizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.
Nashawishika kutafuta shamba Sengerema au Buchosa.
Tafuta shamba hata ekari 2 maeneo ambayo minazi inakubali na ufanye hii project utakuja kunishukuru
Huku niliko kuna watu wanatamba na minazi 50 tu
 
Hizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.
Nashawishika kutafuta shamba Sengerema au Buchosa.
Ukifanya hii project na ukafanikiwa naamini baada ya miaka 10 utaishi maisha yako vizuri nina ushuhuda kwa hili
 
Majitu myeusi yamejaa NEGATIVITY asilimia kubwa ya COMMENT ni za kukatishana tamaa.Alafu wengi wamerithishwa ROHO YA UBINAFSI, haishangazi kwanini mpaka leo BLACK PEOPLE hatuna GENERATIONAL WEALTH.

Wanaocomment awape elimu sijui ujinga gani. Hawa ni kundi la MAZWAZWA wamekariri maisha na maisha yataendelea kuwachapa na kila siku mtakuwa WABANGAIZAJI.

Hii elimu ndo imezalisha machawa, mawinga, na madalali uchwara sasa mtu amejitahidi kufikiri nje ya BOX bado mijitu inataka imdidimize aendelee kufikiri kama yenyenyew mi BLACK PEOPLE/ HALF HUMANS HALF ANIMALS!!!

#BLACK PEOPLE SIKU WAKIACHA UBINAFSI WATAITAWALA DUNIA!!!

CHA AJABU HIYO SIKU HAITAKAA IFIKIWE😭😭😭
Ndivyo tulivyo kukatishana tu
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Haupo chama cha ukinzani kweli?Maana kuna mpango wa kuharibu mazao yako yote hapo shambani kwako.
 
Huwa nasikitika sana nikiona nyumba mjini daslam zimepigwa chata kali " nyumba hii haiuzwi wala haipangishwi, kesi ipo mahakamani"

Yaani wazazi/walezi wao walipambana wakawaachia mali wao kwa uchu wanazigombania mno.

Andaa mirathi mapema kuepusha zoge endapo wewe ndo utatangulia. Kila mtu ukiondoka apewe chake kwa mujibu wa mirathi.
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Mwaka 1992 mshua wangu alifanya kama hivi. Ile minazi ipo mpaka leo watu wanavuna nazi.
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Somo zuri sana hili
Life span ya minazi ni miaka mingapi
 
Back
Top Bottom