Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Inaweza stawi kwa mkoa shinyanga.
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Safi sana 👏👏 nami ni wazo langu ila sijui pa kuanzia kwa maana ya aina ya ardhi ipi inafaa ila pia mbegu Bora. Natamani mbegu zetu asilia za miaka Saba maana zina thamani zaidi sokoni.
 
Mipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Tupe elimu. Kiukweli hili ni zao ambalo halina taarifa za kutosha mitandaoni. Unaweza kukuta mwandishi hajui
 
Habari wanajamvi,

Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400

Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7

Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi

Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.

Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo

NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Huwezi kupata minazi 400 katika ekari mbili, ongeza eneo.
 
Mipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Ahsante sana kwa kumfumbua macho. Mpango wake umekaa kimotivational speaking zaidi kuliko utendaji halisi. Nina Mzee alikuwa na shamba lake kubwa na magari yalikuwa yanaenda huko kuchukua nazi zikiwa safi kabisa na kubwa......mambo yalikuwa bam bam. Sijui kimetokea nini, Sasa hivi Kuna minazi isiyozidi 20.
 
Safi sana 👏👏 nami ni wazo langu ila sijui pa kuanzia kwa maana ya aina ya ardhi ipi inafaa ila pia mbegu Bora. Natamani mbegu zetu asilia za miaka Saba maana zina thamani zaidi sokoni.
Natumia mbegu za Asili naandaa mwenyewe, huwa nachagua nazi bora kutoka kwa wakulima nachagua ile minazi ambayo inazaa sana na ina nazi bora ndio nanunua nazi za mbegu
 
Back
Top Bottom