antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ungeongeza ekari zingine 3 za kwako, ili wakiwa wakubwa kama na wewe ukijaaliwa kuwepo usilazimike kuzengea mali zao.
By the way, ni wapi huko?
By the way, ni wapi huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TangaMinazi utalimia mkoa gani?
Nimeshaanza hii project na nashukuru inaenda vizuriMipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Hakika ni wazo zuri kwakweli na hongera kwa maamuzi uliyoyafanya, na Kwa Tanga ni maeneo gani ambayo ni rafiki Kwa hili zaoTanga
Bei ya mashamba ikoje huko?Nimeshaanza hii project na nashukuru inaenda vizuri
Inaweza stawi kwa mkoa shinyanga.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Mambo ya kwenye daftari hayo.Mipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Muheza, pangani mkinga na maeneo ya jiraniHakika ni wazo zuri kwakweli na hongera kwa maamuzi uliyoyafanya, na Kwa Tanga ni maeneo gani ambayo ni rafiki Kwa hili zao
HapanaInaweza stawi kwa mkoa shinyanga.
Hakuna bei maalum ila bei zimechangamka kidogoBei ya mashamba ikoje huko?
Safi sana 👏👏 nami ni wazo langu ila sijui pa kuanzia kwa maana ya aina ya ardhi ipi inafaa ila pia mbegu Bora. Natamani mbegu zetu asilia za miaka Saba maana zina thamani zaidi sokoni.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Tupe elimu. Kiukweli hili ni zao ambalo halina taarifa za kutosha mitandaoni. Unaweza kukuta mwandishi hajuiMipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Huwezi kupata minazi 400 katika ekari mbili, ongeza eneo.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Ahsante sana kwa kumfumbua macho. Mpango wake umekaa kimotivational speaking zaidi kuliko utendaji halisi. Nina Mzee alikuwa na shamba lake kubwa na magari yalikuwa yanaenda huko kuchukua nazi zikiwa safi kabisa na kubwa......mambo yalikuwa bam bam. Sijui kimetokea nini, Sasa hivi Kuna minazi isiyozidi 20.Mipango si matumizi! Una uhakika na mvua wewe? Unawajua wale wadudu wanaochokoa vilele vya minazi na kuiua yote kwa muda mfupi? Hayo ni baadhi ya maangalizo tu, otherwise Kila kheri!
Natumia mbegu za Asili naandaa mwenyewe, huwa nachagua nazi bora kutoka kwa wakulima nachagua ile minazi ambayo inazaa sana na ina nazi bora ndio nanunua nazi za mbeguSafi sana 👏👏 nami ni wazo langu ila sijui pa kuanzia kwa maana ya aina ya ardhi ipi inafaa ila pia mbegu Bora. Natamani mbegu zetu asilia za miaka Saba maana zina thamani zaidi sokoni.
Viwanja haviwezi kuwasomesha na kuwapa mitajiWanunulie viwanja wanao kwenye mikoa yenye pontential ya kibiashara.