Hizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Tafuta shamba hata ekari 2 maeneo ambayo minazi inakubali na ufanye hii project utakuja kunishukuruHizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.
Nashawishika kutafuta shamba Sengerema au Buchosa.
Ukifanya hii project na ukafanikiwa naamini baada ya miaka 10 utaishi maisha yako vizuri nina ushuhuda kwa hiliHizi hesabu zinavutia kwelikweli. Na ukizingatia kuwa ndani ya shamba la minazi waweza kupanda mazao mengine ya msimu ukapata chakula na/au kuuza.
Nashawishika kutafuta shamba Sengerema au Buchosa.
Ndivyo tulivyo kukatishana tuMajitu myeusi yamejaa NEGATIVITY asilimia kubwa ya COMMENT ni za kukatishana tamaa.Alafu wengi wamerithishwa ROHO YA UBINAFSI, haishangazi kwanini mpaka leo BLACK PEOPLE hatuna GENERATIONAL WEALTH.
Wanaocomment awape elimu sijui ujinga gani. Hawa ni kundi la MAZWAZWA wamekariri maisha na maisha yataendelea kuwachapa na kila siku mtakuwa WABANGAIZAJI.
Hii elimu ndo imezalisha machawa, mawinga, na madalali uchwara sasa mtu amejitahidi kufikiri nje ya BOX bado mijitu inataka imdidimize aendelee kufikiri kama yenyenyew mi BLACK PEOPLE/ HALF HUMANS HALF ANIMALS!!!
#BLACK PEOPLE SIKU WAKIACHA UBINAFSI WATAITAWALA DUNIA!!!
CHA AJABU HIYO SIKU HAITAKAA IFIKIWE😭😭😭
Haupo chama cha ukinzani kweli?Maana kuna mpango wa kuharibu mazao yako yote hapo shambani kwako.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Mkuu hivi kiwastani mnazi mmoja unaweza toa nazi ngapiMnazi wa asili ni miaka 4 hadi 5
Inategemea ni muda gani utasibiri kuchuma,kama utachuma kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna mpaka nazi 40Mkuu hivi kiwastani mnazi mmoja unaweza toa nazi ngapi
Kwahiyo kwa mwaka utapiga tuseme. 40 mara 4 sio?Inategemea ni muda gani utasibiri kuchuma,kama utachuma kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna mpaka nazi 40
Mwaka 1992 mshua wangu alifanya kama hivi. Ile minazi ipo mpaka leo watu wanavuna nazi.Habari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
Inategemea ila wastani wa nazi 40 -60Mkuu hivi kiwastani mnazi mmoja unaweza toa nazi ngapi
Somo zuri sana hiliHabari wanajamvi,
Kwa maisha yalivyo na yanavyoelekea huko mbeleni nimeamua kuwaandalia wanangu mali hii ije iwasaidie baadae
Nina watoto wawili wa kiume mmoja Miaka mitano na mwengine Miaka miwili. Nimeamua kila mmoja ninmnulie Ardhi ekari 2
Kila mmoja nitampandia minazi 400
Kwa nini minazi
Nimepanda minazi kwa sababu nategemea mavuno baada ya miaka 7
Mavuno ya nazi
Kama mnazi utavuna kila baada ya miezi mitatu utaweza kuvuna minimum nazi 30 kwa kila mnazi
Hesabu ikoje
Nazi 30 * minazi 400 nitapata nazi 12000. Kama nitauza kwa bei ya 500 kwa kila nazi nitapata TSH 6000000
Hapo nitavuna kila baada ya miezi mitatu yaani mara nne kwa mwaka nitapata million 24 kwa kila ekari 2
Najua kipindi kama tupo hai hiko wanangu watakua sekondari
Najua nitawasomesha bila ya pressure na pia nitakua na uwezo wa kuwapa hata mitaji.
Nimeshaanza hizi hatua na ndio ninayoendelea nayo
NB: wazazi wa Sasa tuandae kitu cha kuja kusaidia watoto wetu mbeleni ili tusije kuumiza kichwa huko mbeleni. Nb soko la nazi ni la uhakika na linakua siku hadi siku.
naskia ni zaidi ya miaSomo zuri sana hili
Life span ya minazi ni miaka mingapi
ila mkuu kwa wastani wa minazi 200 kwa heka mbona mingi sana? mi nilijua ni 80/acreTafuta shamba hata ekari 2 maeneo ambayo minazi inakubali na ufanye hii project utakuja kunishukuru
Huku niliko kuna watu wanatamba na minazi 50 tu
Asante mkuunaskia ni zaidi ya mia
NdioKwahiyo kwa mwaka utapiga tuseme. 40 mara 4 sio?
Si chini ya miaka 30Somo zuri sana hili
Life span ya minazi ni miaka mingapi
Kama utapanda minazi tupu bila ya miti mingine unaweza kupanda 180-200ila mkuu kwa wastani wa minazi 200 kwa heka mbona mingi sana? mi nilijua ni 80/acre
Spacing yake kitaalam ni urefu ganiSi chini ya miaka 30