Kwa maisha yalivyo, nimewawekea wanangu Asset hii ije iwasaidie baadaye

Hata mimi nimeshawaza kulima.zao la nazi.

Bado nawaza eneo gani zinastawi zaidi ktk mikoa karibu na Dar.

Zao la nazi linazidi kupotea siku hadi siku
 
Write your reply...Wazo nzuri.
Tumia kanuni hii
Idea Plan Action.
 
mkuu unajua nasisitiza hivi kwa sababu nilipata kipeperushi cha wale jamaa wa tari nikaona wao wameandika hii nazi 40 kwa mwaka
Hapana sio kweli ni kwa muangusho mmoja na kwa mwaka unaweza kuangusha mara nne au zaidi
Unaweza kitembelea mikoa inayolima mazi ukajifunza zaidi
 
mkuu unajua nasisitiza hivi kwa sababu nilipata kipeperushi cha wale jamaa wa tari nikaona wao wameandika hii nazi 40 kwa mwaka
Hata mim nilijua hivyo kwamba ni nazi 40 kwa mwaka. Na niliplani niwe na ekari hata moja ya minazi. Ila itabidi niongeze moja nipige chini kupanda miembe ya kisasa. Bora nazi tukilitazama soko
 
Utakuja kukuta umeuza mwenyewe.

Watoto wape elimu mengine watafanya wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…