Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu


Daah, siku ya kwanza kazingua kesho yake unamtoa tena na kesho kutwa yake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]looh
 
Mbona hapo inaonekana wote hamna akili sawa sawa.
 
Hizo taka taka mnatoaga wapi aisee..na inakuaje mnazivumilia...au papuchi zao kuliko...kheeee[emoji1787]

But nimegundua ukikuta mtu hana mtu na kazalishwa ..jiulize why ameachwa...aliyeondoka kilimshinda nn[emoji28]
 
Nilichokugundua huyo ni duu wako. We fanya kumtembezea rungu af achana nae ukijifanya romantic kwa sister du wa bongo hahaa hutaamin
 
Msisingizie usingle mom jamani. Wengine hayo maisha ya kula sehemu nzuri hawajazoea wakipata mtu wanaona wamalize kabisa na wao wasikose cha kuhadithia. Kakosa exposure huyo wako ndo maana hata hajui ale nini na bado anakula kama anamkomoa mlipaji
 
Wee uliona hao wanaume wengine wajinga kumtia mimba na kumuacha🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanamke mimba ya kwnza bila kuolewa tunaweza samehe...ujan maji ya moto....sasa huyo watotto watatu midume mitatu tofauti...huyo hana akili na hastahili kusaidiwa ni wakumpelekea moto tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…