Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Haiwezi kushinda Dar ambako Kila sampuli ipo
 
Ni kweli.

1. Wasichana wenye Rangi nzuri. Arusha inaongozà✔️
2. Wenye kimo cha kati kwenda urefu. Arusha inaongozà ✔️
3. Wenye Sura Nzuri. Arusha inaongozà ✔️
4. Wadada wenye Shepu nzuri. Arusha inaongozà✔️ sio mtu anatako kubwa mpaka anashindwa kutembea.

5. Wadada wenye kujiamini. Arusha inaongozà ✔️

Mikoa ambayo niliwahi kutembea ikiwemo Dsm hakuna anayetoboa kwa Wadada wa Arusha.
 
Back
Top Bottom