Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Sio kanda ya kaskazini tuu, Arusha ni ina watoto wakareee bongo yote.. yan ni wakal balaa huwa sichok kwenda Arusha.Watoto weupe wana weupe flan hiv kias kwamba nikirud Dar wanawake weupe naona kama wana weupe flan unachukizaaa kama wameunguzwa jua hiv. Arusha ina watoto mzee sema tatizo lao tu ni Usela usela halaf wale kuoa ni mtihani sana..ku hangout nao aaahhh safi una enjoy..nataman next time nikitimba Ara ni mchel Leejay49
Kuna pisi ya kimasai
Ni rafiki angu
Yule binti ni mkalii.. ni mmasai
Kwenye weusi hayupo, kwenyewe weupe hayupo… yuko zake tu hapo kati amechili Ni kwereee bablai
 
Sio kanda ya kaskazini tuu, Arusha ni ina watoto wakareee bongo yote.. yan ni wakal balaa huwa sichok kwenda Arusha.Watoto weupe wana weupe flan hiv kias kwamba nikirud Dar wanawake weupe naona kama wana weupe flan unachukizaaa kama wameunguzwa jua hiv. Arusha ina watoto mzee sema tatizo lao tu ni Usela usela halaf wale kuoa ni mtihani sana..ku hangout nao aaahhh safi una enjoy..nataman next time nikitimba Ara ni mchel Leejay49
Weeee sema kweli 😃😃😃,, unistue tuende wote tukawaone nimtafutie broo Wangu mke
 
Kuna pisi ya kimasai
Ni rafiki angu
Yule binti ni mkalii.. ni mmasai
Kwenye weusi hayupo, kwenyewe weupe hayupo… yuko zake tu hapo kati amechili Ni kwereee bablai
Anapatikana pande zipi apo chuga maana siku ya 2 leo nipo hapo kesho jioni nakula mwewe narudi zangu kigamboni
 
Back
Top Bottom