Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Ila Arusha unakutana na pisi kali ,ila inapiga shughuli za umachinga,hapo ndipo nilipo wakubali kwani kwa uzuri ule kwa Dar angekuwa anadanga au anajiuza.
Hapo umesema, nliwahi mkuta mdada chuga anapiga deiwaka stand, nlichoka mdada ni pisi ya kwendaa,

Ingekua Dar bas ni chepuko la sponsor, au dangajii konkiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nilikatiza hapo walikuwa wananishangaa miguu na mie sio kihivyo, kwa upande wa miguu katuuza mi sijakubali kuuzwa😂😂, ukanda huo ni rangi hasa kwa wapenda rangi ya chungwa vilivyobaki ni wastani kama maeneo mengine tu
Haha guu la kihaya lazima lipewe sifa zake likikatiza..

Yah.. rangi ni classy pamoja na kupigwa baridi ila wamependelewa kitengo hicho.
 
Miguu ya bia Arusha?? We utakuwa msukus mpenda rangi na meno ya kuungua
Kuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tena
 
Back
Top Bottom