Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Babati ni Wilaya ndani ya ManyaraKwangu top 4 hizi APA
Singida,Babati,Manyara,Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babati ni Wilaya ndani ya ManyaraKwangu top 4 hizi APA
Singida,Babati,Manyara,Arusha
Congra sana, madini na mm 🙌🙌🙌risk yake kubwa sana na mm Sina shock absorbersKaka nina mradi wangu mule ndani mererani na kuna tajri yangu maarufu sana pale ndani
Anha nilikua sijui mkuuBabati ni Wilaya ndani ya Manyara
Haya bhana... niambie sasa lini tunaenda nijipange kabisa 😃Ahahahahah.
We mtafutie kabisa nikifika mimi na concerntrate na wewe tuuu
Next week hapo j4 tu sio mbaliHaya bhana... niambie sasa lini tunaenda nijipange kabisa 😃
Hapo umesema, nliwahi mkuta mdada chuga anapiga deiwaka stand, nlichoka mdada ni pisi ya kwendaa,Ila Arusha unakutana na pisi kali ,ila inapiga shughuli za umachinga,hapo ndipo nilipo wakubali kwani kwa uzuri ule kwa Dar angekuwa anadanga au anajiuza.
Kama Dar ni jehanamu huku niliko sijui utakuitaje🤒🤒Kwahiyo wew ulitoroka pande hizo uko huku jehanam Dar?
Sawasawa... si tutakua hadi xmas big Boss😉😉Next week hapo j4 tu sio mbali
Kuzimu labda.Kama Dar ni jehanamu huku niliko sijui utakuitaje🤒🤒
HahaKwao huyo 😂😂watu wa Kilimanjaro wanaona Arusha ni yao ....Eti republic .!
Huko Arusha ni kwa kina loveness Tarimo ,hizo type za kina loveness zipo kibao yaani na kunyoa denge.
Naona hilo litafaa😑😑Kuzimu labda.
We ukitaka iwe mpaka new year sawa tu..cha msingi uwe na hiyo time flexibility tu huko kwa mwajiri wakoSawasawa... si tutakua hadi xmas big Boss😉😉
Haha guu la kihaya lazima lipewe sifa zake likikatiza..Kuna siku nilikatiza hapo walikuwa wananishangaa miguu na mie sio kihivyo, kwa upande wa miguu katuuza mi sijakubali kuuzwa😂😂, ukanda huo ni rangi hasa kwa wapenda rangi ya chungwa vilivyobaki ni wastani kama maeneo mengine tu
Asante kaka karibu mereraniCongra sana, madini na mm 🙌🙌🙌risk yake kubwa sana na mm Sina shock absorbers
Imeisha hiyo 🤗🤗We ukitaka iwe mpaka new year sawa tu..cha msingi uwe na hiyo time flexibility tu huko kwa mwajiri wako
Kwetu huko. Usimind jina.Fika kwanza Arusha mkuu😊😊
St Joseph Hosp 😂😂 ni nesi hapoAnapatikana pande zipi apo chuga maana siku ya 2 leo nipo hapo kesho jioni nakula mwewe narudi zangu kigamboni
Bas usijal..acha niwe Malaika Gabriel, mjumbe wako wa habar njema..we si ndio pisi ya familia?? Acha upate stahik zako!!Naona hilo litafaa😑😑
Kuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tenaMiguu ya bia Arusha?? We utakuwa msukus mpenda rangi na meno ya kuungua
Mbona pisi ya familia😃😃🤒Bas usijal..acha niwe Malaika Gabriel, mjumbe wako wa habar njema..we si ndio pisi ya familia?? Acha upate stahik zako!!