Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu!? 😅Mkuu samahani kwa kuuliza. Ila uliwahi kuwa mchawi?
Jina la id yako imekaa kichawi chawi mkuu.Kwanini mkuu!? 😅
KARIBU SANA!Jina la id yako imekaa kichawi chawi mkuu.
Hata hiyo profile pic 🤣🤣
Sijaelewa hapo mkuunna ulimbo wa warembo!
Ulimbo ni gundi fulani asilia mfano wa chewing gum huwa tunatumia kunasia ndege!😅Sijaelewa hapo mkuu
Ok sawasawaUlimbo ni gundi fulani asilia mfano wa chewing gum huwa tunatumia kunasia ndege!😅
.... UMELEWA!?
Ok sawasawa
Wanyakyusa wafupi sana aiseeSifa za makalio na miguu ni wanyakyusa tu, si kokote nchi hii.
Wanakosa sura tu.
Sio KweliUkanda huo Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Singida wana rangi inayowatia kiwewe wanaume wengi washamba washamba, sura nzuri zipo ila miguu na kalio hawashtui kiiivyo,, labda mang'ati niliona ndo wana miguu ya bia ambao ni wachache sana
Kwa miguu hamuwapati mang'ati wana miguu iliyojaa tofauti kabisa na makabila mengine yote ukanda huoSio Kweli
Urefu, miguu, sura na umbo watu wa Arusha wapo vizuri...wamang'ati wana ngozi nzuri ya kuteleza kama wamasai na urefu tu
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Siyo kanda ya kaskazini, nchi nzima.Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!