Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa ufunge hoja sasa kwa kututajie mikoa yenye ke were shepu na miguu mibayaHasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Wivu unakusumbua.Miguu ya bia Arusha?? We utakuwa msukus mpenda rangi na meno ya kuungua
Kuna siku niliamka naimba wimbo wa Ben Paul _ maumivuSi angesema wala hata nisingewekeza vile na kumwamini 100%. alichonilipa Mungu anajua na uwa namuomba sana Mungu aniepushe na kisasi maana kimetawala kwenye akili na moyo
Sawa mkuu nimekuelewaaNdio mkuu,
Kumbuka Tanga siyo kaskazini, ukiondoa Korogwe na Lushoto.
Alichonifabya yule mchaga , Mungu tu anipe moyo wa kutolipiza kisasi.
Umeongea ukweli Dar wanawakewengi wanaonekana wazuri sababu ya mda wote kujipodoa,alafu hawafanyi kazi ngumu kama wa mikoani, sasa kweli umekaa tu ufanyi kazi ngumu asubuhi unapata chai nzuri,mchana chips yai au machopochopo usiku vile vile ni lazima unawiri +kipondozi cha DRC lazima umetemeteDSM wanawake wengi sio wazuri ila wanajipodoa tuu. Makeup kama yote.
Arusha hakuna Makeup na mabinti wamenyooka
wakuu ikifikia kutaja mikoa yenye ke wa miguu na shepu mbayambaya mnishtueHasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Wivu wa lipi sasa, weupe, mguu umbile, yani vitu niko navyo daily!! Hamna warembo humo danganyeni wasukuma tuWivu unakusumbua.
Punguza wivu mkuu.Wivu wa lipi sasa, weupe, mguu umbile, yani vitu niko navyo daily!! Hamna warembo humo danganyeni wasukuma tu
Uhuni wa kijingaHii inatokana na nini mkuu
Heshimu mtizamo wangu hivyo tuPunguza wivu mkuu.
Kama ipo ipo tu.
Uhuni wa kijinga
Madogo wa huko ni wazuri ila wana mentality za kihuni na kujifanya hawana utu .Sijakuelewa mkuu
Hii nakataa. Ukitaka kujua pisi ya chuga ni nzuri au mbaya mngoje afungue mdomo aongee hata nusu sekunde tu. apo unaweza kumeza ayo maneno yakoHasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!