Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Aikoooh! Hapo kwenye miguu ya Bia, mimi Nashukaaaaa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
sawa ufunge hoja sasa kwa kututajie mikoa yenye ke were shepu na miguu mibaya
 
Si angesema wala hata nisingewekeza vile na kumwamini 100%. alichonilipa Mungu anajua na uwa namuomba sana Mungu aniepushe na kisasi maana kimetawala kwenye akili na moyo
Kuna siku niliamka naimba wimbo wa Ben Paul _ maumivu

Sijawai msamehe true ila Sina chuki moyo wangu ukapona

Mwombee kheri vitu vingine ni Kwa ajili ya DIVINE PERPOSE ☺️😊✌️✌️
 
Kuwa serious mkuu Arusha gani unayoizungumzia yenye watoto wakali? Kidogo ningekuelewa ungesema Manyara. Mademu wa Arusha ni wakawaida sana. Mpango mzima ni Dsm na Dodoma kwa sasa inakuja speed.
 
DSM wanawake wengi sio wazuri ila wanajipodoa tuu. Makeup kama yote.
Arusha hakuna Makeup na mabinti wamenyooka
Umeongea ukweli Dar wanawakewengi wanaonekana wazuri sababu ya mda wote kujipodoa,alafu hawafanyi kazi ngumu kama wa mikoani, sasa kweli umekaa tu ufanyi kazi ngumu asubuhi unapata chai nzuri,mchana chips yai au machopochopo usiku vile vile ni lazima unawiri +kipondozi cha DRC lazima umetemete
 
Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
wakuu ikifikia kutaja mikoa yenye ke wa miguu na shepu mbayambaya mnishtue
 
Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Hii nakataa. Ukitaka kujua pisi ya chuga ni nzuri au mbaya mngoje afungue mdomo aongee hata nusu sekunde tu. apo unaweza kumeza ayo maneno yako
 
Back
Top Bottom