Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Vichocheo vya mwili vikishuka kwa wakati muafaka, Mathalani kutokana na Majukumu mazito ya kifamilia, stress za madeni, kuchapiwa n.k. hali hiyo itapotea na utaona kawaida tu...

Ujana ni maji ya moto, fainali uzeeni. Tosheka na uwe na kiasi
 
Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Bila picha huu Uzi ni batili..🤣🤣😂😂
 
Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.

Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Nimeishi mikoa tofauti, nakubaliana nawewe kwa 100%
 
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Gusa uone utarudi kwako na kanga ya kuazimwa
 
Wanawake wa Arusha mbona wana miguu na kalio? Acha wa Klm
Ukanda huo Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Singida wana rangi inayowatia kiwewe wanaume wengi washamba washamba, sura nzuri zipo ila miguu na kalio hawashtui kiiivyo,, labda mang'ati niliona ndo wana miguu ya bia ambao ni wachache sana
 
Mkuu ilo jina tu lazima atoke nduki Mr.sulemani ... Hasa hasa akikumbuka wimbo wa mboso khan sulemani ....selemani ...sele[emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526]

Si angesema wala hata nisingewekeza vile na kumwamini 100%. alichonilipa Mungu anajua na uwa namuomba sana Mungu aniepushe na kisasi maana kimetawala kwenye akili na moyo
 
Arusha inaharibiwa na wale matom boys ila ni wazuri sema mazingira....Interaction ya watu wa Babati ,karatu ,singida na kondoa(Dodoma ) imeleta afueni ya wadada ..Tatizo lao wanafanya kazi kweny bars basi wanakuwa hovyo kabisa.


Kukuta demu mweupe halafu ana mdogo mweusi kama kunguru ni kawaida .

Hii inatokana na nini mkuu
 
Back
Top Bottom