Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 606
- 1,110
Amekomaaa! Amekomaaa! Amekomaaa! Ni wimbo gani vile?
Brother next time learn to balance your 'shobos'. Unaonekana unashoboka hovyo kwa 'ke's'.
Itakuwa wewe umetoka huko, wale si wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekomaaa! Amekomaaa! Amekomaaa! Ni wimbo gani vile?
Brother next time learn to balance your 'shobos'. Unaonekana unashoboka hovyo kwa 'ke's'.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Vichocheo vya mwili vikishuka kwa wakati muafaka, Mathalani kutokana na Majukumu mazito ya kifamilia, stress za madeni, kuchapiwa n.k. hali hiyo itapotea na utaona kawaida tu...Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Mkuu samahani kwa kuuliza. Ila uliwahi kuwa mchawi?Arusha ndo kwenye Warangi orijino! ... usilete maskhara!
Bila picha huu Uzi ni batili..🤣🤣😂😂Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Huku huku Kwa kina asha ngedere..😊😊☺️☺️Nadhani hujaishi kanda ya Mashariki/Pwani.
Mkuu ilo jina tu lazima atoke nduki Mr.sulemani ... Hasa hasa akikumbuka wimbo wa mboso khan sulemani ....selemani ...sele😊😊☺️☺️Alichonifabya yule mchaga , Mungu tu anipe moyo wa kutolipiza kisasi.
Ndio mkuu,Huku huku Kwa kina asha ngedere..😊😊☺️☺️
Haiko shida napitaga sana Hapo nkiwa naelekea kibugumoMjimwema
Mbeya hatari wana mizigo,ukikaa sasa pale Mbeya Pazuri Bar yaaaniiiiii acha kabisa,inapita ya kila aina ila sura ndio wamenyimwa.Heheheee mbeya na kanda ya ziwa ndo kuna wanaojambia mbali achana na hao wenye hips za tumbo
Hio ndo asili ya mbantu sasa,, inye inye,, sura ya baba na wajombaMbeya hatari wana mizigo,ukikaa sasa pale Mbeya Pazuri Bar yaaaniiiiii acha kabisa,inapita ya kila aina ila sura ndio wamenyimwa.
Nimeishi mikoa tofauti, nakubaliana nawewe kwa 100%Hasahasa maeneo ya Arusha Mjini, usipokua makini unaweza gongwa na bajaji kwa kushangaa wanawake.
Wanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Wanawake wa Arusha mbona wana miguu na kalio? Acha wa KlmMiguu ya bia Arusha?? We utakuwa msukus mpenda rangi na meno ya kuungua
Gusa uone utarudi kwako na kanga ya kuazimwaWanawake wengi huku Arusha wana makalio makubwa yenye shepu nzuri balaaa, miguu ya bia ilionona daah, huwa saa nyingine nakutana na pisi, naishia tu kuguna kwa tamaa!
Ukanda huo Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Singida wana rangi inayowatia kiwewe wanaume wengi washamba washamba, sura nzuri zipo ila miguu na kalio hawashtui kiiivyo,, labda mang'ati niliona ndo wana miguu ya bia ambao ni wachache sanaWanawake wa Arusha mbona wana miguu na kalio? Acha wa Klm
Mkuu ilo jina tu lazima atoke nduki Mr.sulemani ... Hasa hasa akikumbuka wimbo wa mboso khan sulemani ....selemani ...sele[emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526]
Arusha inaharibiwa na wale matom boys ila ni wazuri sema mazingira....Interaction ya watu wa Babati ,karatu ,singida na kondoa(Dodoma ) imeleta afueni ya wadada ..Tatizo lao wanafanya kazi kweny bars basi wanakuwa hovyo kabisa.
Kukuta demu mweupe halafu ana mdogo mweusi kama kunguru ni kawaida .