Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawa boss wangu, ukisema wewe mimi ni nani hadi nikupinge😊😉Umeona...we chill tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa boss wangu, ukisema wewe mimi ni nani hadi nikupinge😊😉Umeona...we chill tu
Arusha ndo kwenye Warangi orijino! ... usilete maskhara!hamna mchaga mzuri bhanaa.tokeni magetoni mje dar mkutane nawarangi
Inapingwaje? Haipingwi hiyoSawa boss wangu, ukisema wewe mimi ni nani hadi nikupinge😊😉
Yeah 😊Inapingwaje? Haipingwi hiyo
Sasa siku hio akacheka yule crush akijua story yetu itaanzia pale Ila alipocheka tu akanikata Moto na hakuna story iliyoendelea kwa kweli figa namba 8 Ila sasa meno daah akaendelea kupita amenikaushia tu maana akiongea naona meno akicheka naona meno na meno ndio hivyo na yeye hataki kunitisha maana hata tungeongea mda wote macho yangu yangekua kwenye meno tu Ila Dada wa watu mzuuuriHizi ndo pisi za ara yani zisicheke au kuvaa umini utanyong'onyea
MjimwemaMaeneo gani? Mimi nimepoa sinza huku
Pumu ikinibana ntasogelea fasta apo😋😋😋 st Joseph hospSt Joseph Hosp 😂😂 ni nesi hapo
Mzuri ila akicheka anatisha😂😂 huyo mbovu tuSasa siku hio akacheka yule crush akijua story yetu itaanzia pale Ila alipocheka tu akanikata Moto na hakuna story iliyoendelea kwa kweli figa namba 8 Ila sasa meno daah akaendelea kupita amenikaushia tu maana akiongea naona meno akicheka naona meno na meno ndio hivyo na yeye hataki kunitisha maana hata tungeongea mda wote macho yangu yangekua kwenye meno tu Ila Dada wa watu mzuuuri
Ukimsafisha haiondoi uhalisia wa meno yake haina tofauti na anaejipiga mkorogo,Nikipata pisi Kali ya kiarachuga namuweka ndani, sijali kuhusu meno Yao, kwani nikiwa nae kwa bed nakula meno? Kama anaona aibu kuhusu meno yake ntampa hata million 2 aende hospital akayasafishe 😋😋 Kapeace
🤣🤣🤣🤣Mzuri ila akicheka anatisha😂😂 huyo mbovu tu
Akiwa hajacheka ni mwingine na akicheka ni mwingine yaan unaona km sio yule ambae alikuepo kabla hajacheka unaona kuna watu wawili Ila ni mmoja yaan ningekimbia siku ile sijui angenichukuliaje 😆Mzuri ila akicheka anatisha😂😂 huyo mbovu tu
Nafikiri ungemalizia na neno kuwa "huu ni mtazamo wangu binafsi", kusema kuwa ni utafiti huu ni uongo wa wazi, ongezea pia na huu "hizi ni hisia zangu binafsi"Na mikoa iliyoibuka kidedea kwa kutoa Pisikali ni kama ifuatavyo;
Angeona umemuona kama zombie 🤣😁Akiwa hajacheka ni mwingine na akicheka ni mwingine yaan unaona km sio yule ambae alikuepo kabla hajacheka unaona kuna watu wawili Ila ni mmoja yaan ningekimbia siku ile sijui angenichukuliaje 😆
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]