Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Hivi hili swala la kuambatanisha na picha Haswa Kwa thridi zinazohitaji picha,,Kwa nini halizangatiwi??na mbaya zaidi tunajitahidi kukumbushana kila tupato Wakti humu kwenye jamii yetu ya watu wa forum lakini linazidi kupuuziwa,,,embu tujitahidini katika hili,,thridi ikihitaji na uambatanisho wa picha tusisite fanya hivyo ili kuepuka makwazano yasiyo na mantinki
 
Hizi ndo pisi za ara yani zisicheke au kuvaa umini utanyong'onyea
Sasa siku hio akacheka yule crush akijua story yetu itaanzia pale Ila alipocheka tu akanikata Moto na hakuna story iliyoendelea kwa kweli figa namba 8 Ila sasa meno daah akaendelea kupita amenikaushia tu maana akiongea naona meno akicheka naona meno na meno ndio hivyo na yeye hataki kunitisha maana hata tungeongea mda wote macho yangu yangekua kwenye meno tu Ila Dada wa watu mzuuuri
 
Sasa siku hio akacheka yule crush akijua story yetu itaanzia pale Ila alipocheka tu akanikata Moto na hakuna story iliyoendelea kwa kweli figa namba 8 Ila sasa meno daah akaendelea kupita amenikaushia tu maana akiongea naona meno akicheka naona meno na meno ndio hivyo na yeye hataki kunitisha maana hata tungeongea mda wote macho yangu yangekua kwenye meno tu Ila Dada wa watu mzuuuri
Mzuri ila akicheka anatisha😂😂 huyo mbovu tu
 
Na mikoa iliyoibuka kidedea kwa kutoa Pisikali ni kama ifuatavyo;
Nafikiri ungemalizia na neno kuwa "huu ni mtazamo wangu binafsi", kusema kuwa ni utafiti huu ni uongo wa wazi, ongezea pia na huu "hizi ni hisia zangu binafsi"

Mara nyingi kama siyo zote utafiti hupitia hatua kadhaa za kitaalamu na mwisho huchapishwa!

Kosa ni kulazimisha mtazamo wako binafsi pamoja na hisia zako tuzikubali hata kama ni finyu,potofu,hasi, siyo sahihi n.k!
 
Mawingu hii hali ya hewa inashawishi kupata utamu wa mtoto mkali😋
20231117_114357.jpg
 
Back
Top Bottom