Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Poa kaka Chazi, habari ya weweMambo dada yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kaka Chazi, habari ya weweMambo dada yangu
Mna dhambi 😂😂😂😂Kuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tena
Ndo maana ndg zangu wanajichubua mpaka wanatisha, rangi inatukuzwa mno wakati ni kitu ya kawaida tu,Haha guu la kihaya lazima lipewe sifa zake likikatiza..
Yah.. rangi ni classy pamoja na kupigwa baridi ila wamependelewa kitengo hicho.
We hayo wala hata usijal..zingatia tu next week 😅Mbona pisi ya familia😃😃🤒
Sawasawa 👊👊We hayo wala hata usijal..zingatia tu next week 😅
siku hizi meno yanasafishwaKuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tena
Umenichekesha sana mzeeeKuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tena
Hizi ndo pisi za ara yani zisicheke au kuvaa umini utanyong'onyeaKuna dada Mrembo nilikutana nae na kila tukikutana alikua hacheki nyuma ana bonge la chura, sasa siku hio sijui alifurahi nini si akacheka ooh kidogo nikimbie meno yana kutu alafu ilikua usiku akashtuka ana meno yenye magadi alipoona nimeshtuka akafunga mdomo haraka sana alafu akapita km upepo nikabaki na bumbuwazi nimeona nini yaan mawazo yakahama kwenye shepu yakahamia kwenye meno, tangu siku hio akiniona anapita amefumba mdomo hacheki tena
Arusha ni nyumbani, dar tunazisaka tuAsante kaka karibu mererani
Mungu atamlaani 🤣Mna dhambi 😂😂😂😂
🤣🤣Hizi ndo pisi za ara yani zisicheke au kuvaa umini utanyong'onyea
Umekosea kutokuweka kigezo kimoja tu, AKILI!Ni kweli.
1. Wasichana wenye Rangi nzuri. Arusha inaongozà✔️
2. Wenye kimo cha kati kwenda urefu. Arusha inaongozà ✔️
3. Wenye Sura Nzuri. Arusha inaongozà ✔️
4. Wadada wenye Shepu nzuri. Arusha inaongozà✔️ sio mtu anatako kubwa mpaka anashindwa kutembea.
5. Wadada wenye kujiamini. Arusha inaongozà ✔️
Mikoa ambayo niliwahi kutembea ikiwemo Dsm hakuna anayetoboa kwa Wadada wa Arusha.
Karibu kigamboni kakaArusha ni nyumbani, dar tunazisaka tu
Kugharamia muhimu kaka ukimpata demu gharamia usipo wekeza watakuja watu kukusaidia kuwekezasema wanapenda hela haoo
Wewe sio mwanaume labda ndo maana huwezi kunielewa, wadada wengi wa arusha wanajambia mbali, yaani hayo makalio Yao, najizuiaga tu 😋 KapeaceKuna siku nilikatiza hapo walikuwa wananishangaa miguu na mie sio kihivyo, kwa upande wa miguu katuuza mi sijakubali kuuzwa😂😂, ukanda huo ni rangi hasa kwa wapenda rangi ya chungwa vilivyobaki ni wastani kama maeneo mengine tu
Umeona...we chill tuImeisha hiyo 🤗🤗
Maeneo gani? Mimi nimepoa sinza hukuKaribu kigamboni kaka