Kwa mara nyingine Dimba la Santiago Bernabeu leo moto utawaka REAL MADRID vs MANCHESTER CITY nani kucheza fainali?

Kwa mara nyingine Dimba la Santiago Bernabeu leo moto utawaka REAL MADRID vs MANCHESTER CITY nani kucheza fainali?

Yohana469

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2021
Posts
302
Reaction score
450
Hakika wiki iliyopita tulishuhudia mechi nzuri na yenye mvuto miamba hiyo na mechi iliisha 4:3 sasa leo kwa mara nyingine ni marudiano huko dimba la santiago bernabeu , huenda mechi itakuwa ya kasi na ushindani ila atakayecheza kimbinu zaidi ndie atakaeshinda ,kwa mtazamo wangu bado nampa city kushinda hiyo game kutokana na kipara na mbinu zake,karibuni wadau kwenye uchambuzi wa mechi hii
 
Toka awali nilitabiri fainali ya liverpool vs city, ngija tuone kama utabiri utatokea.
 
Safari hii City haachii hilo kombe, last season alimpa Chelsea zawadi safari hii hatoi zawadi kwa yeyote.

Liverpool kama anataka kombe akamfunge Chelsea fainali ya,FA, na awe makini sana, maana yule Tuchel hatabiriki.
 
Back
Top Bottom