Kwa mara nyingine Dimba la Santiago Bernabeu leo moto utawaka REAL MADRID vs MANCHESTER CITY nani kucheza fainali?

Kwa mara nyingine Dimba la Santiago Bernabeu leo moto utawaka REAL MADRID vs MANCHESTER CITY nani kucheza fainali?

Niliwahi kusema hili kombe ni la madrid ila watu mkabisha, subirini mje kuona ushenzi wa Madrid kwenye final.
Dkk 5 TU zimetosha kufanya maangamizi ya goli 3 kwa city[emoji23]
IMG_20220505_040147.jpg
 
Shida leo casemiro ndani ,alafu Anceloti nahisi anaweza akaanza na vijana wale wawili vinicius na rodrigo ili kuipa changamoto beki za man city bila kumsahau benzema

Shida leo casemiro ndani ,alafu Anceloti nahisi anaweza akaanza na vijana wale wawili vinicius na rodrigo ili kuipa changamoto beki za man city bila kumsahau benzema
Kumbukeni post yangu hii ,nilisema hawa vijana wana vipaji vya hali ya juu
 
Sema nin Mimi ninafurahi snaa team langu man city linavozungumuzwa dunia nzima kuanzia Jana ,Leo radio zote habari ni man city tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sema nin Mimi ninafurahi snaa team langu man city linavozungumuzwa dunia nzima kuanzia Jana ,Leo radio zote habari ni man city tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huna jipya unatakiwa ujifiche Kwanzaa hahaha
 
Sema nin Mimi ninafurahi snaa team langu man city linavozungumuzwa dunia nzima kuanzia Jana ,Leo radio zote habari ni man city tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mnazungumzwa kwa upuuzi, cheki Liver na Madrid zinavyozungumzwa wewe
 
Yaani unatolewa kwenye kombe ambalo umekuwa ukiliangaikia miaka na miaka. "Then unafurahi
sanaa"

Kweli nyie ni Plastic Fans

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini city ikawa na shabiki wa kueleweka huku bongo mkuu? Binafsi nikiona mtu anajiita fan wa man city huwa hata sizungumzii naye mpira.

Sanasana hao ni fans waliotoroka arsenal baada ya kuiona city imeibuka, hivyo hawana lolote wanalolijua!

Huwa nawakubali sana Liverpool fans ambao wamepitia changamoto nyingi sana ila hawaku surrender.
 
Man City wameleta utoto saana, wamestahili walichopata.
PSG wameleta utoto, Chelsea wakaleta utoto na Man city nao wakaleta utoto? Huoni kuna kitu unaogopa kusema mkuu? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Au mahaba yanasababisha usifikiri kwa usahihi?

Madrid hii mnaiita mbovu ila inachakaza timu mnazoona ni bora.

Madrid mbovu ndio ipo viwango vya team bora [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Just imagine madrid bora inakuaje.
 
PSG wameleta utoto, Chelsea wakaleta utoto na Man city nao wakaleta utoto? Huoni kuna kitu unaogopa kusema mkuu? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Au mahaba yanasababisha usifikiri kwa usahihi?

Madrid hii mnaiita mbovu ila inachakaza timu mnazoona ni bora.

Madrid mbovu ndio ipo viwango vya team bora [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Just imagine madrid bora inakuaje.
Timu pekee katika hizo ulizotaja basi ni chelsea ila nae ile zingzomg alikutana nayo pale kwake hata haelewi ilikiwaje kuwaje..

Usinitajie PSG timu inacheza kama ya ndondo, inacheza hovyo kama haina mwalimu hata haueleweki.

Man city natumai umeona, clear chances hazina idadi unakosa, sasa unategemea ucheze na madrid ukose nafasi kama zile kitakusibu kipi.

Kwangu liverpool ndio itakuwa kipimo sahihi, yale makosa ya madrid, Liverpool anaweza kuwahukumu.
Japo naona madrid kuna kaupepo kanamtembelea, subiri dk 90 pale PARIS
 
Timu pekee katika hizo ulizotaja basi ni chelsea ila nae ile zingzomg alikutana nayo pale kwake hata haelewi ilikiwaje kuwaje..

Usinitajie PSG timu inacheza kama ya ndondo, inacheza hovyo kama haina mwalimu hata haueleweki.

Man city natumai umeona, clear chances hazina idadi unakosa, sasa unategemea ucheze na madrid ukose nafasi kama zile kitakusibu kipi.

Kwangu liverpool ndio itakuwa kipimo sahihi, yale makosa ya madrid, Liverpool anaweza kuwahukumu.
Japo naona madrid kuna kaupepo kanamtembelea, subiri dk 90 pale PARIS
Mkuu naona umerudi pale pale.. Kwamba Chelsea kufungwa kwao hakustail au? Tatizo ninaloona hapa unajaribu sana kuonyesha kwamba hizi timu zimefungwa kwa kukosea na sio uwezo wa madrid. Kitu unashindwa elewa pia mechi za mtoano inapaswa kua smart sana especially ukiwa kwako, sio tu swala la kutafuta magoli.. Madrid katika mechi zake zote ugenini amejitahidi kuhakikisha hata kama anapoteza tofauti ya goli isiwe kubwa... Chelsea kwake alizidiwa na akapigwa kama inavyostaili, sasa unaposema haelewi ilikuaje kuaje nashindwa kukuelewa... Je madrid nae ajiulize ilikuaje kuaje hizi timu zikapata magoli pale bernabeu ilhali ameweza kuzitoa ndani ya dakika chache?? Yani timu bora inapigwa goli zaidi ya moja ndani ya dk 2?

Hawa PSG mmewaona wa hovyo baada ya kutolewa, ila wengi walisema it's over for Real Ile game ya kwanza tu.

Mpira ni mchezo wa makosa.. Timu bora inatumia makosa yako kukuadhibu kadiri inavyostaili.. Kama timu inashindwa kufanya hivyo pale timu pinzani inapokesea then haistaili kupewa sifa za ubora.

Game ya Liverpool tusubiri muda ufike, ni mapema sana kuongea. Na hii kitu ndio inawaangusha sana shabiki wa EPL pamoja na wachambuzi wake, wanaongea mno na wanakuja na matokeo uwanjani.. Binafsi Liverpool hadi hatua hii aliyofika hajakutana na team yoyote yenye UEFA caliber, kusema kwamba ndio mabingwa kama wengi wanavyosema naona kama ni kubeba matokeo mfukoni. Nikukumbushe tu final waliyokutana Juve na Madrid na Juve kuishia kula goli 4... Wengi walijua Madrid anaenda kupigwa... By then Juve anafika final karuhusu goli 1 tu kama sikosei, wakati huo Madrid anafika final kwa ups and downs kama hivi.

Tusubiri final. Ipo mechi moja tu, inahitaji game plan tofauti kabisa na knock out stage. Tusije na matokeo hapa mwisho wa siku tukaishi kwa shida
 
Mkuu naona umerudi pale pale.. Kwamba Chelsea kufungwa kwao hakustail au? Tatizo ninaloona hapa unajaribu sana kuonyesha kwamba hizi timu zimefungwa kwa kukosea na sio uwezo wa madrid. Kitu unashindwa elewa pia mechi za mtoano inapaswa kua smart sana especially ukiwa kwako, sio tu swala la kutafuta magoli.. Madrid katika mechi zake zote ugenini amejitahidi kuhakikisha hata kama anapoteza tofauti ya goli isiwe kubwa... Chelsea kwake alizidiwa na akapigwa kama inavyostaili, sasa unaposema haelewi ilikuaje kuaje nashindwa kukuelewa... Je madrid nae ajiulize ilikuaje kuaje hizi timu zikapata magoli pale bernabeu ilhali ameweza kuzitoa ndani ya dakika chache?? Yani timu bora inapigwa goli zaidi ya moja ndani ya dk 2?

Hawa PSG mmewaona wa hovyo baada ya kutolewa, ila wengi walisema it's over for Real Ile game ya kwanza tu.

Mpira ni mchezo wa makosa.. Timu bora inatumia makosa yako kukuadhibu kadiri inavyostaili.. Kama timu inashindwa kufanya hivyo pale timu pinzani inapokesea then haistaili kupewa sifa za ubora.

Game ya Liverpool tusubiri muda ufike, ni mapema sana kuongea. Na hii kitu ndio inawaangusha sana shabiki wa EPL pamoja na wachambuzi wake, wanaongea mno na wanakuja na matokeo uwanjani.. Binafsi Liverpool hadi hatua hii aliyofika hajakutana na team yoyote yenye UEFA caliber, kusema kwamba ndio mabingwa kama wengi wanavyosema naona kama ni kubeba matokeo mfukoni. Nikukumbushe tu final waliyokutana Juve na Madrid na Juve kuishia kula goli 4... Wengi walijua Madrid anaenda kupigwa... By then Juve anafika final karuhusu goli 1 tu kama sikosei, wakati huo Madrid anafika final kwa ups and downs kama hivi.

Tusubiri final. Ipo mechi moja tu, inahitaji game plan tofauti kabisa na knock out stage. Tusije na matokeo hapa mwisho wa siku tukaishi kwa shida
Shida unalazimisha nizungumze ambacho sijasema.. Ni ukweli wa dhati chelsea ilikuwa bora, mpira ni mchezo wa makosa ni mchezo wa bahati wakati mwingine.

Walisema, sio kwamba nilisema, PSG ni mbovu haichezi kitimu,
Hiyo game ya madrid na juve naikumbuka nilikuwa madrid.

Madrid na liverpool nakumbuka nilikula hela pale PRINCESS CASINO kwa kubashiri matokeo ni 3-1.

Kila mtu na maono yake mzee. Tusubiri game iishe tutaongea.
 
Back
Top Bottom