Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ongea na sheikh kahtaan akusilimisheNifanyie ma connection basi na mm mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea na sheikh kahtaan akusilimisheNifanyie ma connection basi na mm mkuu
Daaah! Ni lazima uwe na mandevu kama yale yawa Taliban au kama yale ya Ayatollah? Au sio mandatory requirement? SIPENDI NDEVUOngea na sheikh kahtaan akusilimishe
Hivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tuAmekufa shahid akimpigania Allah., so bikira 72 lazima zihusike huko peponi.
Takbirrr
Kaa kwa kutulia....hizi swaga alileta Muddy kwa kushirikiana na Allah. Sizani kama ni uongo...japo sumu haionjwi lkn mm nataka nisilim then nione napataje connection za kusogea hapo gaza liwalo na liwe....CHEZEA KUJIBEBISHA WEWEE TENA KWA BIKIRA ZAIDI YA MMOJA DAY AND NIGHT BILA KIKOMO HUKU PEMBENI KUNA MTO UNATIRIRISHA HEINEKENHivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tu
Yaani ninakumbuka mafundisho ya usitathi mmoja alikuwa anawafundisha vijana alikuwa anaitwa ilunga kule mwanza wakati abduli rogoo wa Mombasa kuwawa jamaa aliwajaza vijana ujinga huo wa bikira na midefu na kuvaa vipendo robo tatu suruali eti askari shupavu daah yanafurahisha kweli bikira 72Kaa kwa kutulia....hizi swaga alileta Muddy kwa kushirikiana na Allah. Sizani kama ni uongo...japo sumu haionjwi lkn mm nataka nisilim then nione napataje connection za kusogea hapo gaza liwalo na liwe....CHEZEA KUJIBEBISHA WEWEE TENA KWA BIKIRA ZAIDI YA MMOJA DAY AND NIGHT BILA KIKOMO HUKU PEMBENI KUNA MTO UNATIRIRISHA HEINEKEN
Watakuambia yanazaliana kama kumbikumbi hayaishi kana kwamba kufa ni sifa! Ujinga mzigo.2024 - Kupatwa kwa magaidi
Si mchezo!;Danguro la ala limeingezewa shababi,bikra zitapata tabu mwaka huu
Ngoja ni wa tag wanazuoni wa dini ya haki waje kutoa ufafanuzi. Webabu, FaizaFoxy, adriz nkHivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tu
Mimi kwani nipo Israel kisheria missiles zikikosa target lazima watuonyeshe ili tuone maneno ya Hezbullah si kweli na wao ndio wa kweli.Wewe si uonyeshe. Umekatazwa?!
Afu wanakuambia zime piga kwenye empty spaces 😆
Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.Mwanamme yyt mwenye matqtizo ya nguvu za kiume akiambiwa kuna mabikra wengi wanakusubiri yeye anaona ni balaa kubwa saba kwake.
Bora aambiwe kuna chips na kuku baaas. Inatosha kabisa.
Wewe ndio kungwi unaowapa habari Hizi.Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.
Waambie wasiogope
Wewe si ndio kuwadi wao.Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.
Waambie wasiogope