Kwa mara nyingine leo ijumaa kiongozi mwingine wa Hezbollah Saeed Mahmoud Diab auawa kwa drone ya IDF, akiendesha gari

Kwa mara nyingine leo ijumaa kiongozi mwingine wa Hezbollah Saeed Mahmoud Diab auawa kwa drone ya IDF, akiendesha gari

Amekufa shahid akimpigania Allah., so bikira 72 lazima zihusike huko peponi.
Takbirrr
Hivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tu
 
Hivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tu
Kaa kwa kutulia....hizi swaga alileta Muddy kwa kushirikiana na Allah. Sizani kama ni uongo...japo sumu haionjwi lkn mm nataka nisilim then nione napataje connection za kusogea hapo gaza liwalo na liwe....CHEZEA KUJIBEBISHA WEWEE TENA KWA BIKIRA ZAIDI YA MMOJA DAY AND NIGHT BILA KIKOMO HUKU PEMBENI KUNA MTO UNATIRIRISHA HEINEKEN
 
Kaa kwa kutulia....hizi swaga alileta Muddy kwa kushirikiana na Allah. Sizani kama ni uongo...japo sumu haionjwi lkn mm nataka nisilim then nione napataje connection za kusogea hapo gaza liwalo na liwe....CHEZEA KUJIBEBISHA WEWEE TENA KWA BIKIRA ZAIDI YA MMOJA DAY AND NIGHT BILA KIKOMO HUKU PEMBENI KUNA MTO UNATIRIRISHA HEINEKEN
Yaani ninakumbuka mafundisho ya usitathi mmoja alikuwa anawafundisha vijana alikuwa anaitwa ilunga kule mwanza wakati abduli rogoo wa Mombasa kuwawa jamaa aliwajaza vijana ujinga huo wa bikira na midefu na kuvaa vipendo robo tatu suruali eti askari shupavu daah yanafurahisha kweli bikira 72
 
Hivi mwanamke mpigania dini hiyo na huko ahera anaenda kupewa bikira 72 au ni upande wa wanaume tu?jamani kuna ahadi zingine wanadanganywa ila hii ya bikira aliye anazusha hilo somo akili yake alikuwaga kuweka kwenye hako kamchezo tu
Ngoja ni wa tag wanazuoni wa dini ya haki waje kutoa ufafanuzi. Webabu, FaizaFoxy, adriz nk
 
Pinguza uwongo hao ni wanamgambo wakawaida tu, nyie mbona hamleti habari za jana base ya Israel ilivyo sambaratishwa, wangapi walikufa mnaficha nini.

Hezbullah huwa hafichi wakifa wanasema wamekufa, nyie Missiles zinapiga base mnasema zimeanguka kwenye empty spacesm. Mpaa watu wakasema mbona tunaona moshi kwenye base yenu, ndio wakasema eti missile moja imepiga base 😄
 
Wewe si uonyeshe. Umekatazwa?!
Mimi kwani nipo Israel kisheria missiles zikikosa target lazima watuonyeshe ili tuone maneno ya Hezbullah si kweli na wao ndio wa kweli.

Kwanini Hezbullah hafichi hata silaha mnazo dai Israel kapiga silaha ana wacha wachukue watu video na akifa au wakifa askari zake anatangaza kweli wamekufa.

Kwanini Israel kaifukuza Al Jazeera ile ya kiarabu 😄
 
Ongea na sheikh kahtaan akusilimishe
Mwanamme yyt mwenye matqtizo ya nguvu za kiume akiambiwa kuna mabikra wengi wanakusubiri yeye anaona ni balaa kubwa saba kwake.
Bora aambiwe kuna chips na kuku baaas. Inatosha kabisa.
 
Mwanamme yyt mwenye matqtizo ya nguvu za kiume akiambiwa kuna mabikra wengi wanakusubiri yeye anaona ni balaa kubwa saba kwake.
Bora aambiwe kuna chips na kuku baaas. Inatosha kabisa.
Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.
Waambie wasiogope
 
Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.
Waambie wasiogope
Wewe ndio kungwi unaowapa habari Hizi.
Kwahio Nadhani NI muhimu kuwafahamisha habari Hizi
 
Huko peponi unaongezewa nguvu za kiume za kuwashughulikia hao mabikira 72 wenye macho kama vikombe.
Waambie wasiogope
Wewe si ndio kuwadi wao.
Sasa vipi unashindwa kazi ya ukuadi uliopewa?
Wanja upake wewe ngoma nicheze mimi? Hio wapi umeona? 😄
 
Back
Top Bottom